- Thread starter
- #101
Ubaya wa kigamboni mbunge wao ni kutoka magamba kwahiyo hawana mpambanaji hapo kwani 10% ataipokea mapema sana na kuwapa kisogo wananchi wake
hakika nimeamini sasa ni kwanini Mbunge Lema alipata ushindi mkubwa wa kura kutoka kwa watanzania katika kura za mtandaoni.