Lema atabiri machafuko tena Arusha

Saaaafi sana Mbunge! Ndio Maana nilishawahi kusema Tanzania Hakuna Mbunge Kama Godbless Lema...,Ambaye ameamua kuweka mbele maslahi ya wananchi kwanza na pia kuuliza kwanini wawekezaji Tanzania hawajahusishwa? kwani Tanzania hakuna wawekezaji ...,huyu anaweza kuwa raisi ajaye Tanzania

Mambo ya Rostam hayo aliachana na ubunge ili aweze kuwatengeneza kinyumenyume. Kidumu chama cha mapinduzi
 
Kuna wakati mwininge nakubali watu wanafikiria kwa kutumia mioyo yao na wala sio akili zao!!! Sheria imepitishwa na bunge ya namna ya kudeal na mambo ya namna hii, Arusha sio ya Kwanza!!! Sasa siku sheria ikivunjwa wananchi wanatakiwa waende kwenye chombo cha kudai haki na hicho chombo hakiko chini ya serikali ni mhimili mwingine!!! so what are we really discussing here!!!

Ndio maana sheria ilitungwa na bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania, na haki zote zitapatikana kwa kutumia sheria hiyo sio kupitia kwa Lema..... let be serious guys.

nimeamini mtu akishabikia ufisadi kama wewe anakuwa kipofu
 
Gurtu,
Nadhani ufahamu chochote unacholeta wewe ni upambe kwa Lema tu.

Huo mradi utaleta manufaa makubwa kwa wana Arusha, watajenga Shule, Hospitali, Maduka makubwa, Maengesho ya magari, hayo sio maendeleo?
Acha upumbavu kwani vitu kama hospitali, shule, maduka makubwa na maegesho ya magari vinitaji mwekezaji kutoka nje? Kinachohitajika ni ramani ya mji baada ya hapo watangaze kuwa wanahitaji watanzania wa kujenga projects hizo kwa standard za mji; Hata mie ntakuwa mmojawapo wa watu wanaotaka kuwekeza, na nipo tayari kuwatafutia watz watakaojenga na kuendesha projects kwa international standards.
 
Acha upumbavu kwani vitu kama hospitali, shule, maduka makubwa na maegesho ya magari vinitaji mwekezaji kutoka nje? Kinachohitajika ni ramani ya mji baada ya hapo watangaze kuwa wanahitaji watanzania wa kujenga projects hizo kwa standard za mji; Hata mie ntakuwa mmojawapo wa watu wanaotaka kuwekeza, na nipo tayari kuwatafutia watz watakaojenga na kuendesha projects kwa international standards.

Ukiona Meku anaanza kurusha matusi ujue wakati wowote anaweza kukutoa ngeu, cha muhimu ni kumuepuka..

Kama umekasirika nenda kalete fujo Arusha mradi usianze mkuu, bado ujachelewa ni kiasi tu cha kumwambia Lema muende wote!
 
Kama kingamboni kama Arusha!

Ndofu, Dar si Arusha. Kigamboni wanatupelekesha hadi tunashindwa kukarabati vibanda vyetu, labda ni kwa kuwa Mbunge wa Kigamboni ni CCM lakini kwa Arusha inabidi wajiulize mara mia.
 
Gurtu,
Nadhani ufahamu chochote unacholeta wewe ni upambe kwa Lema tu.

Huo mradi utaleta manufaa makubwa kwa wana Arusha, watajenga Shule, Hospitali... hayo sio maendeleo?

Usitudanganye, Arusha tuna uzoefu wa kutosha. Ule mradi wa viwanja vya Burka waliojipatia viwanja vingi ni familia ya Kikwete na Lowasa then vigogo wengine. ARs wameachilia kwa kuwa eneo lile ni la mtu binafsi. Lakini kwa hili, kama wananchi hawakushirikishwa na kukubali, HALITAWEZEKANA
 
Mh. Lema kubali maendeleo yaje kwa faida ya wengi; hizo guest house za Kaloleni zina tija kidogo sana kwa uchumi wa jiji letu la Arusha
Hata migodi mikubwa ilpokuja watu wakati wanafukiwa Bulyanhulu walisema hivyo hivyo kwamba kutakuwa na manufaa kwenye nchi sijui we unayaona au unatumia masaburi kufikiria?
 
Saaaafi sana Mbunge! Ndio Maana nilishawahi kusema Tanzania Hakuna Mbunge Kama Godbless Lema...,Ambaye ameamua kuweka mbele maslahi ya wananchi kwanza na pia kuuliza kwanini wawekezaji Tanzania hawajahusishwa? kwani Tanzania hakuna wawekezaji ...,huyu anaweza kuwa raisi ajaye Tanzania

Aka NESLON MANDELAAAAAA!!
 
Mh. Lema kubali maendeleo yaje kwa faida ya wengi; hizo guest house za Kaloleni zina tija kidogo sana kwa uchumi wa jiji letu la Arusha

Kwani yeye hataki? Anachotaka ni haki kutendeka kwa wanaohamishwa
 
NI UKWELI KWAMBA TUNATAKA MAENDELEO TATAKAYOWANUFAISHA WATZ NA SI MA-BAAZAZI WACHACHE TOKA NJE!
TANGU TUANZE KUWEKEZWA,TUMEFIKIA WAPI?
UPO SAWA MH LEMA,WIN-WIN situation has to be met!

Yes kama rais wetu Dr. Slaa alivyokuwa akitaka
 
Kushirikishwa kwa wananchi ni jambo la muhimu sana katika miradi mikubwa kama hiyo,kwa hiyo hoja ya mbunge ina mashiko,isidharauriwe.Tusipokuwa makini yanaweza kutokea mauaji kama ya mbeya!

Mkuu mbeya kwani kuna mtu alikufa?
 
Juzi nilileta thread humu JF kuhusu huo mradi nakauliza Lema, naye anahusika sikupata jibu sahihi..

Leo ndio nimepata jibu, hivi huo mradi ni wa Chadema au CCM? huo mradi ni kwa manufaa ya wana Arusha.

Nashangaa Lema kujipa majukumu ya Shekh Yahaya utabiri

Hata wewe una matatizo kwani lema hujui ni nani? Ni mwakilishi wa wananchi wa Arusha na anatakiwa kuwatetea maslahi ya raia wake sasa hapo kosa lake ni nini?
 
Gurtu,
Nadhani ufahamu chochote unacholeta wewe ni upambe kwa Lema tu.

Huo mradi utaleta manufaa makubwa kwa wana Arusha, watajenga Shule, Hospitali, Maduka makubwa, Maengesho ya magari, hayo sio maendeleo?
hatukatai juu ya hayo maendeleo,tunachokiongelea hapa ni kuwa yaje maendeleo lakini nao walikuwepo ktk sehemu husika wasirudishwe nyuma wakawa masikini,utaratibu ufuatwe,wapewe maeneo,walipwe fidia,huwezi kulazimisha jambo eti kwa kuwaumiza wengine ili ulete maendeleo,

imetokea hata China serikali imelazimisha kujenga mitambo ya umeme ktk maeneo ambayo ni ya wavuvi na maeneo hayo wavuvi huyatumia kwa kushughuri zao za kijitafutia riziki so kujenga mradi huo ilikuwa ni kuwarudish nyuma wavuvi,serikali ya China ika amuwa kuondoa mradi na kujenga sehemu ambayo haiwezi kusababisha wananchi wake kuumia

lakini hapa tunalazimisha kuwarudisha nyuma wananchi 25000 kwa manufaa ya safari ya Dubai,kwanini wasikae na wahisika wakaliongea wanaogopa nini? nini kinawafanya kuzunguka?
 
Back
Top Bottom