Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Lemaaaaa!!!
Kuna waziri mmoja (jina kapuni) alipewa majisifa sana... na yeye akayafurahia sana; ila muda unavyoenda ngoma inaelekea kupasuka... Even you, kama ukiendelea kufurahia magazeti kukuandika na kusifiwa sana e.g. na wana JF, iko siku ngoma itapasuka... Haya kaka yangu, yangu macho....
Kuna waziri mmoja (jina kapuni) alipewa majisifa sana... na yeye akayafurahia sana; ila muda unavyoenda ngoma inaelekea kupasuka... Even you, kama ukiendelea kufurahia magazeti kukuandika na kusifiwa sana e.g. na wana JF, iko siku ngoma itapasuka... Haya kaka yangu, yangu macho....