Lema atabiri machafuko tena Arusha

Lemaaaaa!!!

Kuna waziri mmoja (jina kapuni) alipewa majisifa sana... na yeye akayafurahia sana; ila muda unavyoenda ngoma inaelekea kupasuka... Even you, kama ukiendelea kufurahia magazeti kukuandika na kusifiwa sana e.g. na wana JF, iko siku ngoma itapasuka... Haya kaka yangu, yangu macho....
 
Juzi nilileta thread humu JF kuhusu huo mradi nakauliza Lema, naye anahusika sikupata jibu sahihi..

Leo ndio nimepata jibu, hivi huo mradi ni wa Chadema au CCM? huo mradi ni kwa manufaa ya wana Arusha.

Nashangaa Lema kujipa majukumu ya Shekh Yahaya utabiri

Kweli huu mradi ni kwa maendeleo ya wana arusha kinachohojiwa hapa ni procedures zitakazo pelekea mradi huo kuwa na tija ya kweli kwa arusha yasiwe kama kumkata mwanao vidole vya miguu ili viatu ulivyo mnunulia vimtoshee
 
Mh. Lema kubali maendeleo yaje kwa faida ya wengi; hizo guest house za Kaloleni zina tija kidogo sana kwa uchumi wa jiji letu la Arusha

amekueleza kuwa yeye hapingi maendeleo,anachopinga ni jinsi mchakato unavyokwenda,jamani muwe mnasoma na kuelewa msikurupuke tu

anachodai mbunge ni jinsi swala zima linavyopelekwa bila kuwashirikisha wananchi wa eneo husika,wapi wanatakiwa kwenda,watalipwa sh ngapi na kwa mtindo upi,sasa mkuu husomi na kuelewa

lakini Mkurugenzi lazima awe makini,huwezi kuanza project fulani ktk makazi ya watu bila wao kuhusishwa na hata mbunge wao hajui nini kinaendelea huo ni usaliti tena usaliti wa hali ya juu,hata sisi tusio na vyama hatuwezi kukubaliana na hili la mkurugenzi
 
amekueleza kuwa yeye hapingi maendeleo,anachopinga ni jinsi mchakato unavyokwenda,jamani muwe mnasoma na kuelewa msikurupuke tu anachodai mbunge ni jinsi swala zima linavyopelekwa bila kuwashirikisha wananchi wa eneo husika,wapi wanatakiwa kwenda,watalipwa sh ngapi na kwa mtindo upi,sasa mkuu husomi na kuelewa lakini Mkurugenzi lazima awe makini,huwezi kuanza project fulani ktk makazi ya watu bila wao kuhusishwa na hata mbunge wao hajui nini kinaendelea huo ni usaliti tena usaliti wa hali ya juu,hata sisi tusio na vyama hatuwezi kukubaliana na hili la mkurugenzi

Nimewahi kusema tuna tatizo Tanzania, our leaders they are not looking at big picture!!! hilo suala ya kushirikisha wananchi is not about mbunge au mkurugenzi ni jambo la kisheria.... tuache kujadili upupu humu ndani.... sheria inasema lazima tathmini ifanywe na fair compensation ifanyike so what are we discussing here!!! yasipofanyika haya sheria lazima itachukua mkondo wake... sio suala la Lema vs Mkurugenzi.. amkeni waTanzania.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Ni vyema kabla ya kuchangia hoja ukajiridhisha kujua unachopinga au kuunga mkono.

Ninaijua Kaloleni,nina marafiki ndugu na jamaa wanaishi kwenye hizo nyumba za Kaloleni.Mheshimiwa Mbunge Lema katoa sababu za kuupinga mradi ambazo kama ni kweli wa kwanza kulaumiwa ni yeye mwenyewe na chama chake kwa kutoweka maslahi ya wapiga kura na wananchi kwa ujumla wake.CDM ilikuwa na nguvu kubwa kwenye baraza la madiwani huu mradi usingepita kama wasingefukuza madiwani watano na kutoa nafasi kubwa madiwani wa CCM kutoa maamuzi makubwa kwakuwa idadi yao ni kubwa.Ikumbukwe pia CDM walikuwa mabingwa wa kususa vikao vya baraza hapo hapo ni mabingwa wa kuvuta posho again Mheshimiwa Lema alitakiwa ajue athari za kususia vikao.

CDM ilishinda udiwani kata ya Kaloleni suala la nyumba za Kaloleni ambazo kuna kipindi zilimilikiwa na NHC na baadaye kurejeshwa Manispaa linajulikana muda mrefu upo umoja wa wakaazi wa hizo nyumba unaowashirikisha wakaazi wa Kaloleni,Kilombero na Fire Mwenyekiti wake ni Bwana Ole Kashiro na Katibu Mzee Shemdolwa.Mheshimiwa diwani wa CDM Charles "Rasta" alishinda kwa ahadi ya kuwasaidia wakaazi wa hizo nyumba kuuziwa kama walivyouziwa wenzao wa Ngarenaro pia watumishi wa serekali nao pia waliuziwa nyumba maeneo ya Sanawari na Uzunguni.Bahati mbaya ugomvi wa CDM ukamuondoa katika nafasi yake ya udiwani.Mpaka sasa Kaloleni haina diwani kwa maneno rahisi wananchi wa Kaloleni wamenyimwa haki yao ya kuwakilishwa na CDM.Niseme kweli sijui kama huo mradi umegubikwa na ufisadi au ni mbinu za wanasiasa kuchafuana.

Mheshimiwa Lema kama anazo hoja za msingi ni vyema akaziwakilisha kunakohusika eg TAKUKURU au Mahakamani.Ningependa kusikia mbunge wangu akitumia njia sahihi kupinga huo mradi ingawa ni lazima pia ajue nyumba husika hazikidhi viwango vya kisheria kuwapo eneo la Kaloleni.Ukitaka kujenga nyumba eneo la kaloleni ni lazima ujenge ghorofa tatu na kuendelea sasa sijui kama wakaazi wa hizo nyumba wanauwezo wa kujenga ghorofa tatu ?.

Mkuu nakuunga mkono kwa ushauri wako. Sijui kama unaishi Tanzania au uko ughaibuni. Tanzania, TAKUKURU yetu inashughulikia mahakimu wanaohongwa Tshs 50,000 kule mahakama za mwanzo. Haiwezi kushughulika na mafisadi hasa kama hiyo issue ina mahusiano na CCM. Mahakama inashughulika na wezi wa kuku na bata na kidogo wabakaji. Issues muhimu na kubwa huwa hazishughulikiwi na mahakama zetu maana zote zimechukuliwa na mafisadi. Kama huamini kawaulize wawekezaji wakubwa wote hapa Tanzania, huwa wanahakikisha dispute zote kwenye mikataba yao zipelekwe kwenye mahakama za kimataifa.
Labda Lema naye aende huko kwenye court za kimataifa ila wote tunafaham kuwa hakuna mahakama imara kama ile ya wananchi ambao ndo Lema amewafikishia habari wajiandae.
 
Lemaaaaa!!!

Kuna waziri mmoja (jina kapuni) alipewa majisifa sana... na yeye akayafurahia sana; ila muda unavyoenda ngoma inaelekea kupasuka... Even you, kama ukiendelea kufurahia magazeti kukuandika na kusifiwa sana e.g. na wana JF, iko siku ngoma itapasuka... Haya kaka yangu, yangu macho....

ufisadi ni sawa na kuwa uchi
 
Nimewahi kusema tuna tatizo Tanzania, our leaders they are not looking at big picture!!! hilo suala ya kushirikisha wananchi is not about mbunge au mkurugenzi ni jambo la kisheria.... tuache kujadili upupu humu ndani.... sheria inasema lazima tathmini ifanywe na fair compensation ifanyike so what are we discussing here!!! yasipofanyika haya sheria lazima itachukua mkondo wake... sio suala la Lema vs Mkurugenzi.. amkeni waTanzania.

kushabikia ufisadi kama wewe ni sawa na kula nyama ya mtu
 
Mkuu nakuunga mkono kwa ushauri wako. Sijui kama unaishi Tanzania au uko ughaibuni. Tanzania, TAKUKURU yetu inashughulikia mahakimu wanaohongwa Tshs 50,000 kule mahakama za mwanzo. Haiwezi kushughulika na mafisadi hasa kama hiyo issue ina mahusiano na CCM. Mahakama inashughulika na wezi wa kuku na bata na kidogo wabakaji. Issues muhimu na kubwa huwa hazishughulikiwi na mahakama zetu maana zote zimechukuliwa na mafisadi. Kama huamini kawaulize wawekezaji wakubwa wote hapa Tanzania, huwa wanahakikisha dispute zote kwenye mikataba yao zipelekwe kwenye mahakama za kimataifa.
Labda Lema naye aende huko kwenye court za kimataifa ila wote tunafaham kuwa hakuna mahakama imara kama ile ya wananchi ambao ndo Lema amewafikishia habari wajiandae.

maneno makuu ya kufungia mwaka haya
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Ni vyema kabla ya kuchangia hoja ukajiridhisha kujua unachopinga au kuunga mkono.

Ninaijua Kaloleni,nina marafiki ndugu na jamaa wanaishi kwenye hizo nyumba za Kaloleni.Mheshimiwa Mbunge Lema katoa sababu za kuupinga mradi ambazo kama ni kweli wa kwanza kulaumiwa ni yeye mwenyewe na chama chake kwa kutoweka maslahi ya wapiga kura na wananchi kwa ujumla wake.CDM ilikuwa na nguvu kubwa kwenye baraza la madiwani huu mradi usingepita kama wasingefukuza madiwani watano na kutoa nafasi kubwa madiwani wa CCM kutoa maamuzi makubwa kwakuwa idadi yao ni kubwa.Ikumbukwe pia CDM walikuwa mabingwa wa kususa vikao vya baraza hapo hapo ni mabingwa wa kuvuta posho again Mheshimiwa Lema alitakiwa ajue athari za kususia vikao.

CDM ilishinda udiwani kata ya Kaloleni suala la nyumba za Kaloleni ambazo kuna kipindi zilimilikiwa na NHC na baadaye kurejeshwa Manispaa linajulikana muda mrefu upo umoja wa wakaazi wa hizo nyumba unaowashirikisha wakaazi wa Kaloleni,Kilombero na Fire Mwenyekiti wake ni Bwana Ole Kashiro na Katibu Mzee Shemdolwa.Mheshimiwa diwani wa CDM Charles "Rasta" alishinda kwa ahadi ya kuwasaidia wakaazi wa hizo nyumba kuuziwa kama walivyouziwa wenzao wa Ngarenaro pia watumishi wa serekali nao pia waliuziwa nyumba maeneo ya Sanawari na Uzunguni.Bahati mbaya ugomvi wa CDM ukamuondoa katika nafasi yake ya udiwani.Mpaka sasa Kaloleni haina diwani kwa maneno rahisi wananchi wa Kaloleni wamenyimwa haki yao ya kuwakilishwa na CDM.Niseme kweli sijui kama huo mradi umegubikwa na ufisadi au ni mbinu za wanasiasa kuchafuana.

Mheshimiwa Lema kama anazo hoja za msingi ni vyema akaziwakilisha kunakohusika eg TAKUKURU au Mahakamani.Ningependa kusikia mbunge wangu akitumia njia sahihi kupinga huo mradi ingawa ni lazima pia ajue nyumba husika hazikidhi viwango vya kisheria kuwapo eneo la Kaloleni.Ukitaka kujenga nyumba eneo la kaloleni ni lazima ujenge ghorofa tatu na kuendelea sasa sijui kama wakaazi wa hizo nyumba wanauwezo wa kujenga ghorofa tatu ?.

Ngongo,
Tatizo lako linajulikana kwamba wewe ni hater, hata Lema aseme nini chenye manufaa lazima utajitahidi kupindisha tu.

Sasa nimekurahisishia kazi, angalia alichosema mbunge wako hapo chini halafu ujipime mwenyewe.

[/COLOR][/B]

"Kwanza huyo meya wao aseme lini tenda hii ilitangazwa na ni Watanzania wakazi wa Arusha wangapi walishirikishwa. Kama hilo halikufanyika, siwezi kukubaliana na mpango mzima na lazima tuanze upya," alisema Lema. [/FONT][/COLOR]

Ni dhahiri Kama ungesoma maelezo ya Lema usingekurupuka kumwaga upupu kwa mara nyingine. Hata kama Lema na madiwani wa chadema hawkuhudhuria vikao vya baraza la madiwani, bado haiwezi kuwa sababu ya kuhalalisha ukiukwaji wa sheria ya manunuzi pamoja na kanunin nyengine zinazoongoza utendaji wa baraza la jiji.
 
Mura MM,

Soma tena na tena bandiko langu halafu weka kando ushabiki utanielewa.Mkuu Lema alitakiwa kuzuia ukiukwaji wa sheria na taratibu ndani ya vikao vya baraza la madiwani !.Mkakati wa CDM ulikuwa kususa vikao vya baraza laiti madiwani wake wangeruhusiwa tangu mwanzo hadithi ingekuwa nyingine,waliochoka na upuuzi wa kususa wamefukuzwa Lema anadhani ataweza kuongoza Arusha mwenyewe.Sasa jiulize alikuwa wapi siku zote hadi mikataba imeshafungwa watu wanatakiwa kuhama maeneo yao kupisha ujenzi.Maneno rahisi ritz wa JF aliwahi kupata habari za Kaloleni kabla ya Mbunge wa Arusha !.Mheshimiwa Lema ameshiriki kupunguza nguvu za CDM Arusha mwenyewe,Amefanikiwa kuifanya CDM Arusha ni Lema na Lema ni CDM ukimwondoa yeye hakuna CDM.




Ngongo,
Tatizo lako linajulikana kwamba wewe ni hater, hata Lema aseme nini chenye manufaa lazima utajitahidi kupindisha tu.

Sasa nimekurahisishia kazi, angalia alichosema mbunge wako hapo chini halafu ujipime mwenyewe.



Ni dhahiri Kama ungesoma maelezo ya Lema usingekurupuka kumwaga upupu kwa mara nyingine. Hata kama Lema na madiwani wa chadema hawkuhudhuria vikao vya baraza la madiwani, bado haiwezi kuwa sababu ya kuhalalisha ukiukwaji wa sheria ya manunuzi pamoja na kanunin nyengine zinazoongoza utendaji wa baraza la jiji.
 
kushabikia ufisadi kama wewe ni sawa na kula nyama ya mtu

Kuna wakati mwininge nakubali watu wanafikiria kwa kutumia mioyo yao na wala sio akili zao!!! Sheria imepitishwa na bunge ya namna ya kudeal na mambo ya namna hii, Arusha sio ya Kwanza!!! Sasa siku sheria ikivunjwa wananchi wanatakiwa waende kwenye chombo cha kudai haki na hicho chombo hakiko chini ya serikali ni mhimili mwingine!!! so what are we really discussing here!!!

Ndio maana sheria ilitungwa na bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania, na haki zote zitapatikana kwa kutumia sheria hiyo sio kupitia kwa Lema..... let be serious guys.
 
Kwenye "Debate" lazima kuna pande mbili - kuuunga mkono hoja au kupinga hoja; tunachangia ili kukoleza mjadala na wala bandiko la mchangiaji si lazima liwe msimamo wake.
 
Martin Luther Jr alisema "The day we see the truth and cease to speak is the day we begin to die"
Hivyo siwezi kuudhalisha ukweli na utu kwa kuwahi kuharakisha kujenga choo au kuweka bara bara moramu , kwangu mimi ikiwezekana kila kitu kusima ili tupate mfumo mzuri wa kuheshimu sheria za Nchi na utaratibu uliowekwa ni maendeleo namba moja kuliko kitu chochote , ni akili mbovu kusema tuache kupigania haki zetu kwa sababu maandamo yanazuia wafanya biashara kuuza TV ? chochote kitakacho haribika lakini chanzo cha huo uharibufu ikawa ni vita dhidi ya uovu na unyanyasaji basi jambo hili litakuwa baraka kwa Mungu pia , ninajua ziko sheria mbovu katika taifa letu hizo nazo tutazipinga kwa nguvu zote , kama ambavyo Martin Luther Jr alivyosema "Injustice anywhere is a threat to justice everywhere." Godbless lema (MB)

 
Nimewahi kusema tuna tatizo Tanzania, our leaders they are not looking at big picture!!! hilo suala ya kushirikisha wananchi is not about mbunge au mkurugenzi ni jambo la kisheria.... tuache kujadili upupu humu ndani.... sheria inasema lazima tathmini ifanywe na fair compensation ifanyike so what are we discussing here!!! yasipofanyika haya sheria lazima itachukua mkondo wake... sio suala la Lema vs Mkurugenzi.. amkeni waTanzania.

sasa mkuu upupu upi tunaoujadili hapa,je hatutakiwa kuliongelea swala la wananchi kujua wapi watapelekwa,sh ngapi watalipwa,na wapi watakwenda? maana ndilo hilo Mh mbunge analiongelea ukiachana na wazawa kupewa nafasi na swala la tenda kutotangazwa,

na kama ni sheria je mkurugenzi mzima aliyeteuliwa na Mh Raisi ajui hizo sheria? inakuwaje anafanya kinyume na sheria itakavyo?

so tunajadili ili wanaostahili haki kwa mujibu wa sheria wapewe haki hiyo na siyo kutumia nguvu eti kwa kuwa umepewa nafasi ya kwenda Dubai basi unalipa fadhira hilo hatukubaliani nalo,

na kama ni sheri kufuatwa basi mkurugenzi yupo nje kabisa ya sheria maana inaonekana hata tenda juu ya mradi huo haikutangazwa je kunasheria inasema hivyo juu ya miradi y kiserikali? kwamba una award tenda pasipo kuitangaza?

na unataka tuamkaje? maana hata kujadili jinsi hao wahusika watakavyolipwa nadhani ni kuamka pia na kunaonyesha kuwa tunaelewa haki zetu,ama wewe mkuu unadhani kuamka ni kukaa kimya na kuacha mambo yaende hovyohovyo?
 
Kwenye "Debate" lazima kuna pande mbili - kuuunga mkono hoja au kupinga hoja; tunachangia ili kukoleza mjadala na wala bandiko la mchangiaji si lazima liwe msimamo wake.

Ni kweli mkuu unachosema,lakini kunavitu vya msingi ni lazima tusimame pamoja na kuvikemea,hatuwezi kukubari watu wameishi miaka kenda sehemu husika,wamejenga kwa kujibana,leo hii anatokea mtu mmoja anataka kuwahamisha pasipo makubariano wala fidia,hili si swala la kukulazimisha ulielewe ni wewe kujiongeza kidogo tu,ebu fikiria kwa mfano umekopa ukanunua kiwanja ukajenga,then anatokea bebari anatoa rushwa kwa serikali arafu wanakuja kubomoa ama kukuhamisha bila fidia yeyote ile,je utakubaliana nao hao? utawaangalia tu kwa kuwa tunahitaji maendeleo,na vipi wewe uliyekosa nyumba na mahali pa kushi? ni maendeleo gani hayo yanayo mnufaisha mkurugenzi kwa kwenda Dubai na kuwaacha watu 25000 wakiwa hawana makazi?

no no no no no no

lazima jambo lifanyike ili kila pande iridhike

mimi nawafurahia sana wachina wao huwa wanaprograme za mda mrefu,na hata maeneo yao yametengwa hivyo,siku wakitaka kuweka project hawana haja ya kumwamisha mtu,wanakwenda ktk maeneo tengwa na wanaweka project yao.

lakini Tz ni tofauti,tunasubiri watu wajiimarishe then akija mtu na vipesa vyake tuna anza kasumba ya kuhamisha watu kibabe,hatuwezi kukubariana na huo uhuni,na ukizingatia Tz watu wanajenga nyumba kwa pesa zao binafsi serikali haichangii mitu,leo hii ukamtoe mtu pasipo kmpa chake,haiwezekani.
 
Kuna wakati mwininge nakubali watu wanafikiria kwa kutumia mioyo yao na wala sio akili zao!!! Sheria imepitishwa na bunge ya namna ya kudeal na mambo ya namna hii, Arusha sio ya Kwanza!!! Sasa siku sheria ikivunjwa wananchi wanatakiwa waende kwenye chombo cha kudai haki na hicho chombo hakiko chini ya serikali ni mhimili mwingine!!! so what are we really discussing here!!!

Ndio maana sheria ilitungwa na bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania, na haki zote zitapatikana kwa kutumia sheria hiyo sio kupitia kwa Lema..... let be serious guys.

Hizo sheria kaziongelee ktk nchi zinazofuata sheria sio hapa TZ,NI MALA NGAPI MMEPINDISHA SHERIA ILI KUKIDHI MATAKWA YENU?
Pindi watu wa Arusha waendapo mahakani tayari nyumba zao zitakuwa zimebomolewa watakaa wapi? na kama mradi wa serikali ni dhahiri shahiri kuwa mahakam inayosimamiwa na serikali italefusha mashitaka hadi watu watakapokata tamaa,je huoni ya wazee wa EA? JE SHERIA HAIWATAMBUI? mbona kesi yao mpaka leo ni miaka zaidi ya 15 hadi baadhi yao wamepoteza maisha lakini bado hawajalipwa

haya mambo ya kubomoa then ndio kushitakiana hatuyataki,kwani tunazielewa sheria zetu huwa zina meno kwa masikini lakini kwa matajiri hazina meno mkuu
 
Nashauri ungejaribu kurudia tena kusoma vizuri maelezo ya mbunge Lema ili umuelewe vizuri anachomaanisha, haifai kupinga kila kitu kwa kukurupuka na kusukumwa na ushabiki wa kichama.


mkuu anamacho masikio akiri lakini anashindwa kuvitumiya wapowengi
 
Haya mambo nayaona kama ka laana fulani hivi (vicious cycle)

Nakumbuka babu yangu alivyokuwa akinisaidia kufahamu maeneo mengi ya miji leo ambavyo zamani yalikuwa ni mapori yasiyoishi watu (ana msemo wake anaosema mjini kwenu leo porini kwetu juzi, akimaanisha vijana wa sasa kujiita wa mjini ni hakumtishi kwani mjini kwetu tunakoringia leo kwao awali yalikuwa mapori)...

Mimi niko Arusha na nikipewa kupiga kura eneo la kubaki bila kubugudhiwa ni Kaloleni (japo sikai hapo) hasa kwa kule kupangika na kukaa kwake...

Kama kweli tunamaanisha maendeleo leo hii, mji wa Arusha hapa katikati ulivyokaa kinachopaswa ni kuutoa nje, sio kuendeleza zaidi eneo hili la katikati kwa kutuletea mwarabu wa kutujengea........Arusha ya sasa sio ya kuendeleza hapa katikati....makosa yalishafanyika tangu awali na yana gharama sana kuyarekebisha saas...hebu angalia mfumo wa barabara ulivyofinyu, angalia mfumo wa majitaka, angalia stand ya mabasi jinsi ilivyo ndogo mpaka kero (mabasi ya mikoani pamoja na ya vidaladala) kiasi kwamba haitoshi na imefikia hatua magari yanatumia barabara (kwa mfano Sabena na Chini ya Mti) kama sehemu ya kuegeshea magari na kupakia abiria....Huu mji unatakiwa utolewe nje, uendelezwe huko ni sio hapa katikati Kaloleni..........

Tukaendeleze maeneo nje kidogo ya katikati ya mji wa Arusha hasa maeneo ambayo hayajapangika vizuri kama eneo hilo la Kaloleni....yapo mengi sana ambayo hayajapangika sana ambayo yanaweza kuendelezwa na wawekezaji katika kuweka jiji vizuri

Otherwise watapelekwa sehemu nyingine then wakipaendeleza over the course of years watakuja tena wawekezaji wengine kutoka Afghanistan watake wahamishwe hapo wawekeze....

Serikali yenye muono wa kueleweka huendeleza ambako hakujaendelezwa na sio kuobomoa kulikoendelezwa ili waendeleze huko...
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom