KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
KUNDI LA WAZEE WA MERU WAMEMTAKA BW GODBLESS LEMA KUTOSHIRIKI KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KUZIBA NAFASI IIYOACHWA WAZI NA MAREHEMU J SUMARI ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO HILO KWA TIKETI YA CCM.
SABABU WANASEMA ALITOA MATAMSHI WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAREHEMU KWAMBA "SASA SUMARI AMEKUFA HILI JIMBO LAZIMA LICHUKULIWE NA CHADEMA" KWA HIYO AMEWAVUNJIA HESHIMA'
HABARI ZAIDI SOMA HAPA:DailyNews Online Edition - Meru elders ban MP Lema
Hebu usinichafue roho, au ndo magamba wanakitafuta mahakamani ili wawazuie wakuu wasishiriki kampeni arumeru mashariki?