Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Lusinde ubunge ndio dose yake? "kudadadeki"Hongera sana Lema, hiyo ndiyo kazi saizi yako. Ubunge ulikuwa haukufai, kukupa ubunge wananchi wa Arusha waliku overdose.
Lusinde ubunge ndio dose yake? "kudadadeki"Hongera sana Lema, hiyo ndiyo kazi saizi yako. Ubunge ulikuwa haukufai, kukupa ubunge wananchi wa Arusha waliku overdose.
huna cha kutushauri magamba pori wewe.... hatuhitaji msaada wowote kutoka kwaHuwezi kujenga chama kwa Chopa ni matumizi mabaya ya pesa kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya chama hakina ofisi mikoani hata makao makuu hali sio nzuri...mnawachangisha pesa wananchi halafu mnamkodishia Lema Chopa.
Tuwe wakweli hivi Lema ana Influence gani kwenye siasa za Tanzania?
Siasa za Lema ni sehemu za kaskazini maeneo ya Arusha, Kilimanjaro.
Huwezi kujenga chama kwa Chopa ni matumizi mabaya ya pesa kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya chama hakina ofisi mikoani hata makao makuu hali sio nzuri...mnawachangisha pesa wananchi halafu mnamkodishia Lema Chopa.
Tuwe wakweli hivi Lema ana Influence gani kwenye siasa za Tanzania?
Siasa za Lema ni sehemu za kaskazini maeneo ya Arusha, Kilimanjaro.
Machinga complex na kigoma kuwa Dubai aliahidi nani? Kama sio baba yenu ambaye anasafiri Kama vasco da gamaZile Machinga Complex mbili na Hospital ndio imeishakuwa stori tena tumeamia kwenye Chopa.
Hongera sana Lema, hiyo ndiyo kazi saizi yako. Ubunge ulikuwa haukufai, kukupa ubunge wananchi wa Arusha waliku overdose.
Mbowe tuambie kwanini umepata mawazo ya kukijenga chama mara baada ya LEMA kubwagwa ubunge; hizo pesa zitokazo kwa Waziri Mkuu yule rafiki yenu; zingetumiwa kwa kuimarisha ofisi zenu mikoani kwa
kuanzia kuliko kumlipa posho ya
kukosa UBUNGE Lema; BUSARA
ITUMIKE
Bora tu abaki kwenye biashara zake, hiyo kazi anayoenda kuifanya ni ya kujichoresha tu!! Kila akienda sehemu watu watataka kwenda kumshangaa mbunge aliyefukuzwa ubunge na siyo kusikiliza anawaambia nini!!Rejao, hujambo lakini? Naona hapo kwenye red umekosea au ndo hujui English? Mii nadhani kwa kumpa ubunge walimu-underdose. naona leo umeamka vizuri
Naomba nifafanulie hiki kingereza hapa mkuu...nimetoka bila bila!!Mafilil your Very law, acha kulialia mmeyataka wenywe!
Tunashuhudia upotevu wa MABILIONI ya pesa za wananchi kwa kumtengenezea LEMA ajira!
Hii ni hatari sana kwa taifa.
Kama katemwa ubunge apumzike mbona wengine hatuna job na tunasurvive?