Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Kwani mtu akiwa Waziri akiachia ngazi haruhusiwi kuuliza swali la nyongeza. Jamani hivi hawa wabunge wanajua kweli responsibilities zao Bungeni. Yaani wanasema maneno wanayojua yatawafurahisha hao wanachama wao badala ya kuzungumza mambo ya maana kwa ajili ya mustakhabali wetu. mpaka sasa nadhani UKAWA wanajua wanawakilisha Vyama vayo wake up! naona bado mko kwenye usingizi wa pono. Na hii itawacost. Tuna Rais Intelligent ambae anaweza kuchambua vitu vikaeleweka wakw rika zot, jinsia, zote na washabiki wa vyama vyote!!! Mh. Rais naomba kwenda kutoa elimu kwa wabunge topic moja tu Roles and responsibilities zao as wabunge! tena kwa kujitolea!! Ntawaonyesha clips za wabunge na mifano hata ya Halmashauri iliyokuwa na wabunge wa vyama viwili lakini kwenye malumbano FOCUS ni kwa MWANANCHI na si vinginevyo!Ha ha ha Nagu alikuwa Waziri eti Leo anauliza swali LA nyongezaaaa uuuhu