arudi akuokoe wew mtumwa wa mwafrika mwenzakoYaani iwekwe makumbusho kisa alisema yeye ana madiwani wengi kuliko ccm huko Arusha?
Dr. Wilbroad Slaa please rudi uokoe jahazi.
Lema ni aina ya watu kama mawazo, ni jasiri na alikwishajitoa mhanga siku nyingi ili aweze kusaidia watu wa arusha
ulichopungukiwa wew niniHakuna hotuba bora kama ile ya kushabikia kumzomea Lowassa kwa ufisadi.
Alisema nchi inaongozwa kama gheto na ilikua kweli japo unaakili za kusahau kama kuku
Ndio nifahari kweli kumzomea riz kama fisadi lowasa yuko wazi alishasema fisadi ni kikwete au nalo umesahau?Na vipi alipoosema ni fahari kwa Mungu kumzomea na na kumnanga fisadi lowassa? Unakubaliana nae?
Katika bunge la 11 Mbunge wa Arusha mh. Godless Lema alitoa hotuba moja matata sana ya maslahi ya taifa yenye hoja lukuki, maneno ya kipekee ambayo ingefaa sana kama taifa hii iwe hotuba ya kihistoria na iwekwe katika MAKUMBUSHO ya taifa kwa ajili ya kizazi kijacho. Jambo hili si la mzaha hata kidogo japo ma CCM watakuja hapa na hoja dhaifu na matusi!
Kwani hujui lema ni nani?, naona wewe ndiyo unatakiwa kusaidiwa kwanzaKwa mfano mpaka sasa lema amewasaidia vipi watu wa Arusha?
Ha ha ha ha Nchi ilikuwa inaongozwa kama Gheto.Sio huyu aliyesema nchi inaongozwa kama GHETO katika awamu ya nne? Huyu jamaa kweli ni Great Thinker.
Lema Ni hazina ya Taifa letu Ata ngosha analijua Hilo hapo magogoni.
KWELI TUNAHITAJI WATU WACHACHE WANAOJUA MAMBO KULIKO RUNDO LA WATU WANAFIKI WANAOSHADADIA UJINGA MKUU.Jamaa jembe sana aisee.....ccm watanyooka tu!
HAKIKA BADO MIZUKA YA GODBLESS LEMA INANIZINGUA SANA KICHWA, aliongea maneno mazito sana kwa waelewa na hasa wafuatiliaji wa mambo ya historia za nchi mbalimbali hasa zilizokumbwa na Ugaidi ama vita vya wenyewe kwa wenyewe. Alitoa mifano ya waziwazi kabisa ili angalau mwenye macho ya rohoni na aone na mwenye masikio mawili na asikie neno alilokua akitoa nabii wa kizazi kipya, Siyeogopa suluba za kisiasa na asiyeogopa kusema ukweli. Unaweza kufanya uzinzi kwa siri lakini huwezi kupata Ukimwi kwa siri. Hakika viongozi wa ccm wakumbuke kua auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga. Hongera sana Kamanda Lema, kumbuka tunakutegema sana pamoja na makamanda wengine woooote tuiowatuma Bungeni. Msijipendekeze hata kwa mchuzi kwa maana huku tunawaona tu kupitia mitandao ya kijamii japo jamaa wamebania TBC YETU, wamesahau kua ni kodi zetu ila msijali. tupo nyuma yenu daima. ukija Chuga tutafute wanachama watiifu hapa Kijenge juu.