Lema amvaa Mkapa, yeye (Mkapa) ajitetea...

kweli alifanya mengi mojawapo kuhakikisha Mwalimu Nyerere
ametoweka.

Kujitwalia kiwira, kufanya biashara akiwa ikulu, kuchukua mabilioni NSSF, kukarabati ikulu kwa mabilioni, Kumuua Mwl Nyerere, Kuuza Nyumba za serikali, Kuuza shirika la Reli, Kumuuzia mama Anna Mkapa Lamada apartments, Kuingiza Tz wawekezaji Uchwara, Kuratibu ukwapuaji wa EPA, Kutununulia ndege Mbovu ya Rais, Radar, kuuza viwanja vya Wazi, kupora ardhi yetu na kuwapa wazungu, Kuua watu pemba na Unguja, Kuua waislamu Muembe chai, Kutoa chuo cha Umma cha Tanesco Morogoro na Kuwapa Waislamu hadi leo hatuna wataalamu wa umeme na hivyo umeme unakatika katika, Serikali yake kushindwa kusimamia mambo ya msingi na kusababisha maafa makubwa kama vile Ajali ya Treni na MV Bukoba!Kuajili wasio raia wa Tz kwenye sekta nyeti kama vile Daudi Balali! Kuwapiga mabomu wanafunzi wa vyuo vikuu! Kutuletea kiongozi Mbovu! Kutuongezea Idadi ya wanajeshi wasiokuwa na Kazi yoyote! Kuuza madini yetu kwa bei chee, eti kwa mrahaba wa 3%. Pumbav zake
 
Kujitwalia kiwira, kufanya biashara akiwa ikulu, kuchukua mabilioni NSSF, kukarabati ikulu kwa mabilioni, Kumuua Mwl Nyerere, Kuuza Nyumba za serikali, Kuuza shirika la Reli, Kumuuzia mama Anna Mkapa Lamada apartments, Kuingiza Tz wawekezaji Uchwara, Kuratibu ukwapuaji wa EPA, Kutununulia ndege Mbovu ya Rais, Radar, kuuza viwanja vya Wazi, kupora ardhi yetu na kuwapa wazungu, Kuua watu pemba na Unguja, Kuua waislamu Muembe chai, Kutoa chuo cha Umma cha Tanesco Morogoro na Kuwapa Waislamu hadi leo hatuna wataalamu wa umeme na hivyo umeme unakatika katika, Serikali yake kushindwa kusimamia mambo ya msingi na kusababisha maafa makubwa kama vile Ajali ya Treni na MV Bukoba!Kuajili wasio raia wa Tz kwenye sekta nyeti kama vile Daudi Balali! Kuwapiga mabomu wanafunzi wa vyuo vikuu! Kutuletea kiongozi Mbovu! Kutuongezea Idadi ya wanajeshi wasiokuwa na Kazi yoyote! Kuuza madini yetu kwa bei chee, eti kwa mrahaba wa 3%. Pumbav zake
Hebu nambie, hivi chuo cha Tanesco hakijapata substitute yake?...Aliona comperative advantage gani ya kufuta chuo cha Tanesco na kubadili kuwa chuo cha Waislamu?
 
Kusema wabakaji, wezi nk. Watoke gerezan,!!!? unatarajia nini kwa hawa waliotendwa. Ndo mwanzo wa kuuana coz huwezijua jamii itampokeaje na yeye atakuja na mtazamo gani.

Tusiwe bendera tufate upepo, eti kisa hoja imetolewa na mtu wa chama unachokipenda.
Acha kuishi kwa kukalili.....
 

Mkapa: Niacheni!


na Grace Macha, Arusha
Tanzania Daima


RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, jana alisema kwa sasa hataki kusumbuliwa kwa namna yoyote, badala yake ameomba aachwe huru ili ashughulikie matatizo aliyonayo.
Bila kutaja aina ya matatizo hayo, Mkapa alikataa kuzungumza na waandishi wa habari akidai kuwa hataki kuongeza matatizo mengine, kwa vile aliyonayo kwa sasa yanamtosha.
Mkapa alitoa kauli hiyo baada ya kuombwa na kundi la waandishi wa habari mara baada ya kutoka kwenye mjadala maalumu kuhusu uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji barani Afrika, ulioandaliwa na Taasisi ya Uwezeshaji na Uwekezaji (ICF).
Waandishi walitaka kufanya mahojiano na Rais huyo mstaafu kuhusiana na mambo kadhaa yakiwemo aliyozungumza katika mkutano huo, ambayo yalikuwa mazito na ‘mwiba' kwa watawala wengi wa serikali barani Afrika.

"Niacheni, nina matatizo yangu ya kunitosha, sitaki kuongea kwa sasa," alisema na kisha akaondoka.
Rais Mkapa amekuwa akishambuliwa na viongozi mbalimbali wa siasa kwa madai ya kuuza mashirika ya umma, kutumia wadhifa wake na kujimilikisha kampuni ya uchimbaji madini, akishirikiana na baadhi ya waliokuwa mawaziri katika serikali yake.
Baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipendekeza Rais huyo wa zamani akamatwe kwa kuhusika na tuhuma za ufisadi, kama ilivyofanywa kwa baadhi ya mawaziri wake wa zamani kwa tuhuma za ubadhirifu.

Mkapa aliingia hivi karibuni katika mzozo mzito na familia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, baada ya kukaririwa akisema Mbunge wa Musoma, Vicent Nyerere (CHADEMA), hakuwa mtoto wa Mwalimu, kauli aliyoitoa wakati wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru Mashariki, wakati akimnadi mgombea wa CCM, Sioi Sumari.
Mapema akizungumza katika mjadala uliohudhuriwa na washiriki toka makampuni na taasisi mbalimbali za bara la Afrika, Mkapa alisema alifanikiwa wakati wa utawala wake kutokana na sera yake ya uwazi na ukweli (Mhhhh!) na pia kujikita katika utekelezaji wa mipango. (Mipango ipi? ya ufisadi?)


 


Crashwise sasa huoni hayo ni maamuzi binafsi yake nyerere kama nyerere na kaunda suti zake...!! i believe mtanzania yeyote ana haki ya kuishi popote anapotaka
Lakini huyu kakimbia kaenda kujificha na matatizo bahati mbaya sana akaendelea na siasa sasa acha vijana wamvue nguo.......
 
  • Thanks
Reactions: BAK
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom