Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Mkuu hiki ni kiingereza gani? Si uandike kizaramo tu?
Mkuu, kumbe lugha ya Malkia unapishana nayo!
Mkuu hiki ni kiingereza gani? Si uandike kizaramo tu?
a silly english writing from an illiterate
Alikuwa wa CCM.ila jifunze kufuatilia siasaHivi huko mbunge aliyefariki alikuwa wa chama gani?
Jifundishe kwanza matumizi ya herufi kubwa na ndogo, ndio uje kukosoa.
Unavuta pumzi ili iweje. Mimi siongozwi na mahaba naongozwa na utashi wangu. Mahaba hupumbaza na kumfanya mtu aite chongo kengeza. Mkuu siwezi kushabikia kwa sababu tu ya kushabikia hata kama ni magamba ama magwanda ni sawa tu. Ushabiki usio na mashiko ni upofu. Heading ya thread ni tofauti na kilichomo ndani. Siwezi kushabikia vurugu zisizo na mashiko. Unaona ni ushujaa kimvamia mtu hotelini na kutaka kumpiga bila sababu? Siasa haziko hivyo; siasa zinaongozwa na dhana ya kupingana bila kupigana.Yaani we acha tu! nilimgungua mda kidogo ila nilikuwa namvutia pumzi....ila ningefurahi kama atabadilisha
picha ya avatar yake
Meza hivyo hivyo ni chungu lakini...........
Huenda ni utoto ama uchanga katika siasa na malezi toka kwa mzee wa funga mlango tupigane; nadhani akikua ataacha. Inanikumbusha enzi hizo tuko shule ya msingi ambapo tulikuwa tunachonganishwa na kuambiwa puta mchanga. ukiputa tu basi ugomvi mnapigana kama kondoo!Nassari anawaza kupigana hadi leo! Hopeless!
Huu ni ushauri mzuri sana kwa huyu kijana pamoja na wengine ambao wanashangilia ugomvi bila kujiuliza madhara yake kisiasa.tunashabikia ugomvi, this is not right no matter what!!! Nasari needs to avoid these encounters, if they are really important, then he should use other people and possibly disappear fromt he scene... he is getting himself into the trap that is prepared for him
THE YOUNG MAN NEEDS TO KNOW THAT VIOLENCE MAY NOT BE THE BEST FOR NOW, KAMA ANATAKA IMPACT ATUME WATU WAWE WAANGALIZI NA YEYE AKAE BIZE NA KAMPENI, MERU IS MORE OF A SULTANATE PLACE
call me old fashioned by any violence is not right kwa sasa... hawa ni vijana wawili kwenye mkoa wa wajanja wanaweza kuchuana bila makonzi
tutaaminije?weka picha hapa fasta!!
Mkuu kimbunga, mie kwa kweli sijaelewa vizuri, Lema kamuokoa kivipi mwigulu?