Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,882
- 32,280
vua gamba we gamba sijui we ni mch. lwakatare anae ikandia jf mwaka huu mtat.............................vijiti
Kijana JF sio mali ya Chadema ni Jukwaa huru.
vua gamba we gamba sijui we ni mch. lwakatare anae ikandia jf mwaka huu mtat.............................vijiti
TUSIVURUGE NCHI kama Naasiri nataka kummaliza Mwigulu aweke TEGO la rushwa,
HABARI ZA MASUBWI hapana,
Unaweza isimamia hii kauli yako kwa muda gani au ni leo tu, maana mara nyingi mnadai JF ni ya CDM.Kijana JF sio mali ya Chadema ni Jukwaa huru.
Unaweza isimamia hii kauli yako kwa muda gani au ni leo tu, maana mara nyingi mnadai JF ni ya CDM.
Kamanda hakika wewe si wa kuaminika.Ulileta porojo hapa kuwa Chadema inaelekea kushinda Uzini kumbe ni asilimia 4 kwa 91. Sasa umeamia Arumeru na fix za Alsaaf wa Iraq ''we are beating them''.Kama hamtaacha porojo hizi za mezani kuwa CCM haipendwi mtakuwa mkitandikwa kila chaguzi na kulia na uchakachuaji.
Uongo unashusha heshima na wewe humu Jf huwa nakupotezea tu maake unafiki at work.What is so special to Nasari, ninachojua yeye ni miongoni mwa wagombea zaidi ya 6 waliochukua fomu CDM sasa kabla kamati haijampitisha kaanza kupanic na ikitokea amepigwa chini what next?
Tuheshimu demokrasia, huwezi kujitangaza kuwa mpinzani (mteule wa CDM)hali ya kuwa hujapitishwa.Hii inaleta tafsiri kuwa wengine ni wasindikizaji tu which is not true.
Kamanda hakika wewe si wa kuaminika.Ulileta porojo hapa kuwa Chadema inaelekea kushinda Uzini kumbe ni asilimia 4 kwa 91. Sasa umeamia Arumeru na fix za Alsaaf wa Iraq ''we are beating them''.Kama hamtaacha porojo hizi za mezani kuwa CCM haipendwi mtakuwa mkitandikwa kila chaguzi na kulia na uchakachuaji.
Uongo unashusha heshima na wewe humu Jf huwa nakupotezea tu maake unafiki at work.What is so special to Nasari, ninachojua yeye ni miongoni mwa wagombea zaidi ya 6 waliochukua fomu CDM sasa kabla kamati haijampitisha kaanza kupanic na ikitokea amepigwa chini what next?
Tuheshimu demokrasia, huwezi kujitangaza kuwa mpinzani (mteule wa CDM)hali ya kuwa hujapitishwa.Hii inaleta tafsiri kuwa wengine ni wasindikizaji tu which is not true.
Kamanda hakika wewe si wa kuaminika.Ulileta porojo hapa kuwa Chadema inaelekea kushinda Uzini kumbe ni asilimia 4 kwa 91. Sasa umeamia Arumeru na fix za Alsaaf wa Iraq ''we are beating them''.Kama hamtaacha porojo hizi za mezani kuwa CCM haipendwi mtakuwa mkitandikwa kila chaguzi na kulia na uchakachuaji.
Uongo unashusha heshima na wewe humu Jf huwa nakupotezea tu maake unafiki at work.What is so special to Nasari, ninachojua yeye ni miongoni mwa wagombea zaidi ya 6 waliochukua fomu CDM sasa kabla kamati haijampitisha kaanza kupanic na ikitokea amepigwa chini what next?
Tuheshimu demokrasia, huwezi kujitangaza kuwa mpinzani (mteule wa CDM)hali ya kuwa hujapitishwa.Hii inaleta tafsiri kuwa wengine ni wasindikizaji tu which is not true.
Kama CCM wanadhani wanakubalika Arumeru kwanini wameanza kugawa pesa mapema?
Kwa mtindo huu,haiyumkiniki kutarajia kampeni zozote za maana toka kwa CCM...
Tumsaidie Kamanda Nassari kuandaa mawakala na walinzi wa kura mapema...
Hapo bado hajaenda ndugu Rage na wajumbe wa kamati kuu Asha Baraka na Hadija Kopa bila kumsahau bingwa wa mikakati wa chama bwanaLivingstone Lusinde, mlezi wa CCM mkoa wa Arusha Steven Wassira, hapo hujamgusia kamanda wa polisi wa mkoa,Tobais Adengenye !!
Pamoja na watu hao hapo juu,hatimaye NGUVU YA UMMA itashinda.
Giving advice but no listens...Unaweza isimamia hii kauli yako kwa muda gani au ni leo tu, maana mara nyingi mnadai JF ni ya CDM.
Mseme na msingizie kwa mengine, lakini uzinzi na uongo, CCM hawawezi kuwafikia Chadema, tena viongozi wa juu kabisa, wote!Kwa CCM bila kuwa na merits hizo, mwizi, fisadi, mtoa rushwa, mzinzi, mwongo, majungu, mbea, fitina, makundi na mambo kama hayo hupati cheo.
Giving advice but no listens...
Hivi huko mbunge aliyefariki alikuwa wa chama gani?
Hivi huko mbunge aliyefariki alikuwa wa chama gani?
Giving advice but no listens...