Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Ndugu wanajf leo hapa MOUNT MERU HOTEL kumetokea tafurani kubwa ilikuwa inamkuba MWIGULU NCHEMBA, Nahii yote imetokea Baada ya kamanda Nassari Joshua kupata Taarifa ya kugawiwa kwa rushwa kwenye Jimbo la Arumeru Mashariki.
Kamanda Nassari aliamua kumfuata moja kwa moja bwana Mwigulu Nchemba na kumuonya kuhusu tuhuma hizo ndipo bwana Nchemba alipo anza kujibu mbovu na kamanda Nassari akaamua kumnyookea na Kumuambia Nchemba hapa ni Meru siyo Igunga nitakuchapa vibao sasa hivi, Kamanda Nassari akamsogelea Bwana Nchemba na kutaka kufanya kweli ndipo ghafula akatokea kamanda Lema na kumuambia Nassaria aachana na Nchemba kwani hawawezi kushinda Meru hata wakiamua kuhamishia Bank kuu pale na kugawa hela.
Kwasasa kamanda Lema na makamanda wengine Wameelekea Meru kwa kazi za chama ila baada ya Tafrani hiyo kamanda Nassari hajulikani alipoelekea, Ila hili lilikuwa onyo kwa mdomo , Hatuta vumilia ****** huu.
WATATUUA KWA RISASI ZA MOTO, WATAKUFA KWA PRESHA YA DHAMBI, AHSANTENI MUNGU YUPO UPANDE WETU, MSIOGOPE.
Kamanda Nassari aliamua kumfuata moja kwa moja bwana Mwigulu Nchemba na kumuonya kuhusu tuhuma hizo ndipo bwana Nchemba alipo anza kujibu mbovu na kamanda Nassari akaamua kumnyookea na Kumuambia Nchemba hapa ni Meru siyo Igunga nitakuchapa vibao sasa hivi, Kamanda Nassari akamsogelea Bwana Nchemba na kutaka kufanya kweli ndipo ghafula akatokea kamanda Lema na kumuambia Nassaria aachana na Nchemba kwani hawawezi kushinda Meru hata wakiamua kuhamishia Bank kuu pale na kugawa hela.
Kwasasa kamanda Lema na makamanda wengine Wameelekea Meru kwa kazi za chama ila baada ya Tafrani hiyo kamanda Nassari hajulikani alipoelekea, Ila hili lilikuwa onyo kwa mdomo , Hatuta vumilia ****** huu.
WATATUUA KWA RISASI ZA MOTO, WATAKUFA KWA PRESHA YA DHAMBI, AHSANTENI MUNGU YUPO UPANDE WETU, MSIOGOPE.