kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Mheshimiwa lema ameanzia siasa mbali mwaka 2005 aligombea ubunge kwa tiketi ya TLP na kupata
hapo ndipo nakuja na hoja ya umuhimu wa kuwa na mgombea binafsi ni wengi sana wanabanwa na hivi vyama vya siasa wakati wana uwezo so plz cdm hakikisheni katiba mpya inatoa uhuru huo japo kuna hofu ya kudhoofika kwa vyama lakini kwa vyama imara vitadumu tu.
GODBLESS JONATHAN LEMA | TLP | M | 40,892 |