BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kama kuna mtu anaejuta dunian ni mama batilda buriani
wakati zitto kabwe akiwa ameshatoa alioyatoa huyu mama akaamkaa na kuomba
sheria ifwate kijana ahukumiwe kweli jamaa letu likaingia line mara kijana wetu akamtoa,
wakati lema anakampen alichukua muda mwingi kuwaeleza wananchi mnamjua zitto mnakumbuka huyu mama ndie aliechangia kumtoa zito bungen kwa nini mnataka kurudisha upupu ulitaka kufukuza kijana wenu ...watuu weeeweeee
hii ikawe fundisho kwa wabunge wa ccm na wengine kuropoka ropoka
wakati zitto kabwe akiwa ameshatoa alioyatoa huyu mama akaamkaa na kuomba
sheria ifwate kijana ahukumiwe kweli jamaa letu likaingia line mara kijana wetu akamtoa,
wakati lema anakampen alichukua muda mwingi kuwaeleza wananchi mnamjua zitto mnakumbuka huyu mama ndie aliechangia kumtoa zito bungen kwa nini mnataka kurudisha upupu ulitaka kufukuza kijana wenu ...watuu weeeweeee
hii ikawe fundisho kwa wabunge wa ccm na wengine kuropoka ropoka