Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
ni dhambi kufagia uchafu wa chumbani na kutupia takataka izo chini ya kitanda.
Mh Lema ameropoka kama mwendawazimu kuwa hamtambui meya wa Arusha.Hivi kiongozi kama huyu si anaweza kuiabisha nchi akipewa majukumu makubwa.Hajui kuwa mambo ya kijiweni tangu alipokuwa mbunge ndio basi.Inawezekana hata aliwahi kuwa mwizi mifukoni standi ya Arusha jinsi anavyoropoka kama vile hana akili.
Wewe Fredrick Sanga si ulikuwa mwanachama wa chama cha magamba,naona sasa umeamua kubadilika.Hongera sana kwa uamuzi mzuri na wa busara ulioamua kuuchukua.Endelea kumlipua mbele ya wageniound: