ni uamuzi wa busara maana hakawii kuporomosha matusi yule mchaga! bunge lina hadhi yake bwana sasa hayo matusi yake ni bora ayaandike halafu ayasome aone yana sound vipi! TV zinaangaliwa na watoto siku hizi ala!
Topic kama hizi zingenoka sana kama angeliwapo MALARIA SUGU ah uko wapi kaka njoo utetee jahazi wanalizamisha hawa.
wabunge wenu wana pupa na wamejaa ulimbukeni! na inabidi muwatahadhalishe mapema! bungeni si mahali pa matusi na dharau! waambieni uchaguzi umekwisha tunataka kusikia hoja sio matusi! shame on you CHADEMA kutupelekea wahuni bungeni
lakini vile vile sio mahali pa kukaa na kupiga meza kwa kila ambalo halina maana, kupiga vijembe, kulala na kuitikia kila kitu ndio mzee, na mwisho kuchukua posho kubwa wakati wananchi wanahangaika kupata kilo ya sukari kwa 2000/-, kutokula sawasawa na dawa hakuna mahospitalini, maji tusahau, umeme tumezoea if i keep going on i will cry........................
unaweza kutuambia iwapo huyo mdau ana akili timamu au anavyeti vya mirembe?
Hata mimi nilikuwa bado naushangaa ujasiri wa Makinda wa kumtaka Lema afafanue kauli za uongo za Waziri Mkuu Pinda Bungeni. Kwa hakika hatua hiyo ingeupaishia umaarufu kijana huyu na kummaliza kabisa Pinda kiasi kwamba asingeaminika tena machoni pa watanzania.Wakuu wa JF,
Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa kuliambia bunge kuwa mh lema sasa atatakiwa kujitetea kimaandishi na siyo kuhutubia bungeni kama ilivyopangwa. Wadau wa karibu na hilo lichama konge barani africa ambalo siku si nyingi tutashuhudia anguko lake wanaseama ccm wamesense kuendelea kuharibika kwa public image yake ndo maana wameona walikwepeshe hilo kombora (Long range missile) kwa style hiyo.
Source; Mdau aliyeko bungeni
Wakuu wa JF,
Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa kuliambia bunge kuwa mh lema sasa atatakiwa kujitetea kimaandishi na siyo kuhutubia bungeni kama ilivyopangwa. Wadau wa karibu na hilo lichama konge barani africa ambalo siku si nyingi tutashuhudia anguko lake wanaseama ccm wamesense kuendelea kuharibika kwa public image yake ndo maana wameona walikwepeshe hilo kombora (Long range missile) kwa style hiyo.
Source; Mdau aliyeko bungeni
ni uamuzi wa busara maana hakawii kuporomosha matusi yule mchaga! bunge lina hadhi yake bwana sasa hayo matusi yake ni bora ayaandike halafu ayasome aone yana sound vipi! TV zinaangaliwa na watoto siku hizi ala!