Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,280
- 1,763
wabunge wenu wana pupa na wamejaa ulimbukeni! na inabidi muwatahadhalishe mapema! bungeni si mahali pa matusi na dharau! waambieni uchaguzi umekwisha tunataka kusikia hoja sio matusi! shame on you CHADEMA kutupelekea wahuni bungeni
Nahisi huyu ni "shake well brain"