Mtimbwafs hatungoji kizazi cha tatu majibu lazima yatolewe hadharani wakati ni sasa. Kama huyo mama Spika alikusudia kuzima hoja ya kupata kanuni ya ukweli na uongo wa mtoto wa Mkulima.Tunasubiri kujua ukweli halisi wa mambo na wala si siri kwani wakati mtoto wa mkulima anateleza ilikuwa siri?. Naomba Mh. Lema atueleze watanzania hadharani hata kama Anna Makinda amekwepa upuuzi wake alioutaka ili kumchafua zaidi mtoto wa mkulima.
Kwa siasa hizi hatutaendelea kamwe labda kizazi cha tatu kutoka sasa ambacho kitahakikisha KIDUMU kimemwagika kabisa.
wabunge wenu wana pupa na wamejaa ulimbukeni! na inabidi muwatahadhalishe mapema! bungeni si mahali pa matusi na dharau! waambieni uchaguzi umekwisha tunataka kusikia hoja sio matusi! shame on you CHADEMA kutupelekea wahuni bungeni
Ahahahaah! Mkuu huyo jamaa kanywa maji ya kijani ndio maana povu linamtoka kutetea chama kinachoelekea kufa!Samahanini wana JF naomba mmoja amnuse KALAGABAHO atuambie kanywa pombe gani coz ana coment km mlevi
wabunge wenu wana pupa na wamejaa ulimbukeni! Na inabidi muwatahadhalishe mapema! Bungeni si mahali pa matusi na dharau! Waambieni uchaguzi umekwisha tunataka kusikia hoja sio matusi! Shame on you chadema kutupelekea wahuni bungeni
Hiyo ni mbinu ya chama tawala kupata hicho walichonacho cdm ili waweze kujadili kwanza jinsi ya kukabiliana nao katika vikao vya chama , lazima mama atakuwa alilimwa memo kukumbushwa yaliyotokea baada ya kumshambulia na kumsimamisha mhe. Kabwe wakati wa bunge la 9.Wakuu wa JF,
Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa kuliambia bunge kuwa mh lema sasa atatakiwa kujitetea kimaandishi na siyo kuhutubia bungeni kama ilivyopangwa. Wadau wa karibu na hilo lichama konge barani africa ambalo siku si nyingi tutashuhudia anguko lake wanaseama ccm wamesense kuendelea kuharibika kwa public image yake ndo maana wameona walikwepeshe hilo kombora (Long range missile) kwa style hiyo.
Source; Mdau aliyeko bungeni
Nacho chama hakina muda mrefu, tutakichimbia kaburi muda si mrefu!wewe kweli unaota! utakufa wewe CCM utaiacha! kwanza uwe na adabu kwa chama kilichokulea wewe na familia yako ebo!
wabunge wenu wana pupa na wamejaa ulimbukeni! na inabidi muwatahadhalishe mapema! bungeni si mahali pa matusi na dharau! waambieni uchaguzi umekwisha tunataka kusikia hoja sio matusi! shame on you CHADEMA kutupelekea wahuni bungeni
We huujui mchezo wa siasa unavyochezwa so ni bora utafute mwanaume (sijui we ni wa jinsia gani thou nhisi sio ya kiume) wa kukupenda leo utulie naye mle valentine. Mchezo wa siasa waachie wataalam wa CDM kwani umeishaambiwa Mnyika na Lissu wameipitia hiyo maneno lazima watatoka na kitu cha uhakika. Wale machalii hawabahatishagi mamaangu...bao la kisigino liko wapi sasa! na hao wabunge wenu vilaza mtakoma mwaka huu! pale sio kijiweni mwendo ni kutunga sheria na kujenga hoja sasa hao kina mr 2 na lema waendelee tu na maneno yao ya kampeni lazima watiwe kamba!
wabunge wenu wana pupa na wamejaa ulimbukeni! na inabidi muwatahadhalishe mapema! bungeni si mahali pa matusi na dharau! waambieni uchaguzi umekwisha tunataka kusikia hoja sio matusi! shame on you CHADEMA kutupelekea wahuni bungeni
apeleke tu kwa maandishi, copy waandishi wa habari and JF of courseWakuu wa JF,
Habari kutoka mjengoni zinatabaisha kuwa ccm wameshtukia dili utetezi wa Mh.Gobless Lema (Chadema) dhidi ya hoja ya spika wa bunge mh Anne Kitoto cha ndege. Spika amenukuliwa kuliambia bunge kuwa mh lema sasa atatakiwa kujitetea kimaandishi na siyo kuhutubia bungeni kama ilivyopangwa. Wadau wa karibu na hilo lichama konge barani africa ambalo siku si nyingi tutashuhudia anguko lake wanaseama ccm wamesense kuendelea kuharibika kwa public image yake ndo maana wameona walikwepeshe hilo kombora (Long range missile) kwa style hiyo.
Source; Mdau aliyeko bungeni