Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Tehe tehe nawapenda sana JF.
Mkuu Ritz
Usihangaike sana na molemo, Gwalihenzi & co Lema ameenda kufuturisha London hiyo ndiyo namna walivyobunu kula pesa ya ruzuku hivi ile M4C aliyokuwa akiifanya Dar iliishia wapi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mbona hujataja jina la mkalimani wake au yeye siyo muhimu?
Sasa kama wewe umenifuatilia sana ukajua sifahamu kiingereza na mie kuna ubaya gani nikimfuatilia Lema na hatimaye nimejua kuwa Lema hajui kingereza...kama una ushahidi wa video clip Lema anaongea kingereza au anafanya munakasha wa kingereza weka humu JF.
Halafu ulivyokuwa muongo umeumbuka muanzisha thread kakuchuuza kabadilisha Lema na Meya watakutana jumanne wewe unasema wameishaongea.
Ebu pitia michango yote kuanzia post #1 mpaka ya mwisho hakuna mtu yeyote kashangaa Lema kwenda Uingereza sio issue kwenda Uingereza issue ni Lema kuonana na kufanya mazungumzo na Meya wa London, Wanabodi wanahoji lugha gani wameongea sababu wanasema Lema hajui kiingereza na Meya wa London hajui kiswahili au kulikuwa na mkalimani...kama una clip yeyote ambayo Lema anaongea kiingereza tuwekee mkuu tumalize ubishi.
Mkuu Ritz
Usihangaike sana na molemo, Gwalihenzi & co Lema ameenda kufuturisha London hiyo ndiyo namna walivyobunu kula pesa ya ruzuku hivi ile M4C aliyokuwa akiifanya Dar iliishia wapi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mbona hujataja jina la mkalimani wake au yeye siyo muhimu?
Haya bhana! Sasa matawi 7 uk yanasaidia nini wakati hawataruhusiwa kupiga kura? Chama kimeona kuna umuhimu wa kwenda uk wakati hapa Tz sehemu za vijijini ndio kwanza hata balozi wa nyumba 10 kutoka cdm hamna? Naipenda cdm lakini si kwa mtindo huu!
Mbona sisi wengine tuliosoma UDSM pamoja na Ridhiwani tunajua kiingereza chake, lakini hatushangai wala hatuulizi akienda nje anaongea lugha gani? Mbona kwa Lema mnataka kuleta kuwa Issue? Kwani kati ya English na Kiswahili ni ipi ambayo ukikosea unatakiwa uone aibu zaidi?
Idiot....
Hebu tuambie mkuu Lema amekula Tsh ngapi ili tuchangie vizuri. Tusije badilisha jukwaa la great thinkers kuwa kitu kingine sasa.
kwa taarifa yako ma actor wa holywood wengi ni maarufu na wanapewa heshima kuliko mayor wa London.Wanatembea Arusha na kupokelewa na madogo waliofeli hivyo vidato na kupiga course za miezi 3 halfu wanaenda wapokea hao maVIP na mwisho wa siku hao maVIP wanawakubali kuliko waliotoka vyuo vya kibongo.Halfu worse hao ma VIP katika special requrements zao huwa wanataka guide nayeongea kithugu safi.Na huwa mara nyingi maxi hawapatikani katia ya wasomi.Na wakipatika na operationala manger huwa hawapati maxi nzuri toka kwa wageni.Ana akili kwako anakuambia Lema kaishaongea na Meya wa London kumbe kaongea na Haruna Mbeyu...naona umeamua kubadili ID.
Mkuu taweka profile ya huyo Meya...mkuu unaweza kutuwekea kipande chochote cha hotuba ya Lema ya kiingereza.