Lema akutana na Meya wa jiji la London nchini Uingereza

ungweka maneno tujue una unaimanisha nini? maana ni picha mbili tofauti na matukio tofauti na wala hakuna uhusianao hata kidogo

Kusoma hujui hata picha huoni ukimuona Sabodo na viongozi wa Chadema kuna nini hapo?
 
Atakuwa kuku huyo


Kiboko ni Kidhungu. Kuna jamaa alitumiwa ujumbe na rafiki yake amnululie Buktionary

Kwa yeyote mwenye video clip ya mazungumzo ya Lema na Meya wa London aiweke humu JF.
 
Mie namtafuta huyo lema na nikiisha kutana naye nitajua kama kweli anaongea lugha au ni maneno ya watu. nisubirini hapa baada ya masaa mawili ana kikao kidogo akimaliza nitakutana naye kwenye nyama choma tuongee
 
Bahati mbaya mie nikukujibu kutoka na hayo maneno yako mie ndio tashambuliwa taambiwa mdini wakati wewe umetimiza wajibu wako.

Mie takujibu kiungwana tu hayo maneno ndio yanazidi kuiweka mbali jamii ya Kiislam na Chadema..
Sio midevu mingi?
 
Dah, kuna comments humu zinachekesha sana, kisa kukatishana tamaa tu ya mapinduzi. Kila mtu ana uelewa wake na matakwa yake kwa uwezo wake alionao na akili zake zinanvyomtuma.

All the best CDM kwa mbio za kuikomboa nchi!
 
Haya bhana! Sasa matawi 7 uk yanasaidia nini wakati hawataruhusiwa kupiga kura? Chama kimeona kuna umuhimu wa kwenda uk wakati hapa Tz sehemu za vijijini ndio kwanza hata balozi wa nyumba 10 kutoka cdm hamna? Naipenda cdm lakini si kwa mtindo huu!

wewe inaelekea bado ni mchanga sana kisiasa! chama kinachotarajia kushika dola lazima kijipambanue nje na ndani M4C kwa Tanzania inaenda kwa kasi ila jumuiya ya kimataifa nayo lazima iifahamu CDM na misimamo yake mbalimbali kuhusu international issues!pia unajenga marafiki nje pia!
 
Kwa yeyote mwenye video clip ya mazungumzo ya Lema na Meya wa London aiweke humu JF.

nimekuwa nikitumia mbinu zangu za ukachero kupata CV yako maana wewe sijaona ukipost cha maana huenda una mtindio wa ubongo halafu sisi tunakusakama na kukutukana bure kumbe sio kosa lako!!
 
Mkuu chama kuna michango mingine huku imeanza na" Breaking News Lema akutana na Meya wa London" watu wana mbinu za kukusanya pesa...

Lema kaongea nini na Meya wa London ebu tuwekeeni clip ya mazungumzo yao Lema hajui kiingereza ilo lipo wazi kaongea kwa lugha gani.
tatizo la watu simple minded wanafikiri kujua kimombo ndio usomi! wanasahau kuwa hata rais wa china,rais wa ufaransa,rais wa urusi , rais wa ujerumani wote hawajui kiingereza. kwa maono yangu kiongozi akijua kiswahili kwangu inatosha sana,, kujua kiingereza ni utumwa wa fikra
 
Last edited by a moderator:
Naona unapenda video sana angalia hapa



Mie sina muda wa kufungua hiyo clip mie nataka ya maongezi ya Meya wa London na Lema wanaongea cha msingi ni kutaka kujua maongezi yao wameyafanya kwa lugha gani?
 
Last edited by a moderator:
nimekuwa nikitumia mbinu zangu za ukachero kupata CV yako maana wewe sijaona ukipost cha maana huenda una mtindio wa ubongo halafu sisi tunakusakama na kukutukana bure kumbe sio kosa lako!!

Huo ukachero wako kwa nini usimsaidie Dr Slaa, Mnyika, wanasema wanataka kuuwawa.
 
Ukweli husemwa:


Hivi Watanzania tutaondokana lini na huu Ukoloni mamboleo.
Ninampongeza sana Lema kwa kutaka kukutana wa Watanzania waishio nje ya nchi na huu ndiyo uwe msingi na dhumuni kuu la safari yake. Wewe mleta Thread unataka kutuaminisha kama msingi na dhumuni kuu la safari ya Lema ni kukutana na Meya wa London. Kwani Boris Johnson anahusiana nini na siasa zetu.
 
Ukweli husemwa:


Hivi Watanzania tutaondokana lini na huu Ukoloni mamboleo.
Ninampongeza sana Lema kwa kutaka kukutana wa Watanzania waishio nje ya nchi na huu ndiyo uwe msingi na dhumuni kuu la safari yake. Wewe mleta Thread unataka kutuaminisha kama msingi na dhumuni kuu la safari ya Lema ni kukutana na Meya wa London. Kwani Boris Johnson anahusiana nini na siasa zetu.

Lema kukutana na Meya wajiji la Londoni ni kitu cha kawaida kuongelea siasa za mataifa yaliyoendelea na siasa za afrika hasa Tanzania na changamoto za utawala dhidi ya Demokrasia na jinsi ya kukabiliana na vikwazo hivyo.

Nitaendelea kuleta kila kinachoendelea hapa Uingereza.
 
Back
Top Bottom