Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini kabla ya jk kumfanyia uhuni na kuingilia uhuru wa mahakama Mh Godbless Lema, Amewasili mjini Londoni Uingereza.
Kuwasili kwa kamanda lema hapa uingereza na kukutana na Meya wa jiji hili la Londoni hapo j4 nikielelezo tosha kuwa kamanda huyo anafanya siasa za kimataifa kwasasa. Lema amewasili jana akitokea Tanzania.
Lengo lingine la safari hii ya kamanda Lema ni Uzinduzi wa M4C unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam tarehe 10/08/2012. Baada ya uzinduzi huwo Lema na Timu yake ya M4C vile vile inategemewa kwenda kwenye mataifa mbalimbali duniani kupeleka ujumbe wa M4C kwa watanzania waishio nje ya Tanzania, Lema atazindua matawi takribani saba nchini uingereza, atawasili jiji Dar es salaam siku ya alhamisi kwaajili ya uzinduzi huwo.
Vile vile Katibu wa Chadema toka Marekani anatarajia kuwasili nchini Tanzania siku ya kesho ambapo atapokewa na Mkt wa M4C Dar es salaam Bw Alex Mayunga na kamati yake pamoja na Katibu wa Chama Bw Kilewo.
Kuwasili kwa Katibu huyo toka nchi marekani ni muendelezo wa wageni mbalimbali toka nchi mbalimbali duniani watakaohudhuria tukio hilo kubwa na lakihistoria ukiachia lile la Arusha kipindi cha kampeni. Changia M4C kupitia Namba 111333 tulikomboe taifa letu, Lengo ni kukusanya 5 bil, inawezekana
Update: 1
Kwasasa lema anazungumza na watanzania Maeneo ya Thatched house public jijini Londoni, ni zaidi ya watanzania 70... Tutaendelea kuwajuza kinachoendelea. Safari imekuwa na mafanikio makubwa sana kwa lema kisiasa pamoja na chadema. Amepokelewa kwa heshima sana kwa ushirikiano wa waingereza pamoja na Watanzania.
Lema ananguvu sana hatukutegemea kuwa Waingereza wanamjua Lema.
Update 2:
Kwa wale Wanaopiga kelele kuhusu CV ya Lema. Hii hapa:Adv diploma HR na diploma project management , certificate management of leadership na mwanafunzi BBA
Kuwasili kwa kamanda lema hapa uingereza na kukutana na Meya wa jiji hili la Londoni hapo j4 nikielelezo tosha kuwa kamanda huyo anafanya siasa za kimataifa kwasasa. Lema amewasili jana akitokea Tanzania.
Lengo lingine la safari hii ya kamanda Lema ni Uzinduzi wa M4C unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam tarehe 10/08/2012. Baada ya uzinduzi huwo Lema na Timu yake ya M4C vile vile inategemewa kwenda kwenye mataifa mbalimbali duniani kupeleka ujumbe wa M4C kwa watanzania waishio nje ya Tanzania, Lema atazindua matawi takribani saba nchini uingereza, atawasili jiji Dar es salaam siku ya alhamisi kwaajili ya uzinduzi huwo.
Vile vile Katibu wa Chadema toka Marekani anatarajia kuwasili nchini Tanzania siku ya kesho ambapo atapokewa na Mkt wa M4C Dar es salaam Bw Alex Mayunga na kamati yake pamoja na Katibu wa Chama Bw Kilewo.
Kuwasili kwa Katibu huyo toka nchi marekani ni muendelezo wa wageni mbalimbali toka nchi mbalimbali duniani watakaohudhuria tukio hilo kubwa na lakihistoria ukiachia lile la Arusha kipindi cha kampeni. Changia M4C kupitia Namba 111333 tulikomboe taifa letu, Lengo ni kukusanya 5 bil, inawezekana
Update: 1
Kwasasa lema anazungumza na watanzania Maeneo ya Thatched house public jijini Londoni, ni zaidi ya watanzania 70... Tutaendelea kuwajuza kinachoendelea. Safari imekuwa na mafanikio makubwa sana kwa lema kisiasa pamoja na chadema. Amepokelewa kwa heshima sana kwa ushirikiano wa waingereza pamoja na Watanzania.
Lema ananguvu sana hatukutegemea kuwa Waingereza wanamjua Lema.
Update 2:
Kwa wale Wanaopiga kelele kuhusu CV ya Lema. Hii hapa:Adv diploma HR na diploma project management , certificate management of leadership na mwanafunzi BBA