G. Activist
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 482
- 125
Hellow Great Thinkers
Nimesikitishwa sana na kauli yamkuu wa Polisi Arusha Andengenya, kuhusiana na malalamiko ya Mh Lema kuelezea attempt za kutaka kumuua yeye, baadhi ya wanachama wa Chadema na Wanaharakati wa Arusha. Huyu bwana akajump into conclusion kwamba hizi kauli ni za mtaani, za kihuni na si za kweli!!!! Akaendelea lakini Jeshi limejipanga kufanya uchunguzi kuhusu suala hilo!!!!
Swali langu na kwa wengi walio sikiliza zile kauli...!! uchunguzi wa nn na wakati amesema kauli ni za mtaani na za uongo??? Na Je sisi tutegemee nn kuhusu huo uchunguzi?? Utakuwa wa haki kweli?? Na huyu bwana angekuwa ni kiongozi wa ccm kapeleka malalamiko kwake angethubutu kutoa kauli za ajabu kama hizo?!!!
Inasikitisha sana kwa kweli!!!!
Nimesikitishwa sana na kauli yamkuu wa Polisi Arusha Andengenya, kuhusiana na malalamiko ya Mh Lema kuelezea attempt za kutaka kumuua yeye, baadhi ya wanachama wa Chadema na Wanaharakati wa Arusha. Huyu bwana akajump into conclusion kwamba hizi kauli ni za mtaani, za kihuni na si za kweli!!!! Akaendelea lakini Jeshi limejipanga kufanya uchunguzi kuhusu suala hilo!!!!
Swali langu na kwa wengi walio sikiliza zile kauli...!! uchunguzi wa nn na wakati amesema kauli ni za mtaani na za uongo??? Na Je sisi tutegemee nn kuhusu huo uchunguzi?? Utakuwa wa haki kweli?? Na huyu bwana angekuwa ni kiongozi wa ccm kapeleka malalamiko kwake angethubutu kutoa kauli za ajabu kama hizo?!!!
Inasikitisha sana kwa kweli!!!!