Hongera kwa utabiri mzurinaitabiria leicester kumaliza league chini ya chelsea, na haitakuwepo hata top 4.....
Sioni Arsenal wakochomoka. Haijalishi wanacheza wapi, hawa jamaa ni fighters. Beki ya Arsenal hawawezi kabisa kuwazuia hawa jamaa, sioni Per na wenzake akimzuia Mahrez au Vardy.Hatari sana....hawa Leicester wakiwapiga Arsenal next game basi kombe nawapa