Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,011
Hahahah thats we call call football, na jezi tutabadilishana....Hahahahaha sinuniii hiyo ni fair player.....nyie wetu
Hahahah thats we call call football, na jezi tutabadilishana....Hahahahaha sinuniii hiyo ni fair player.....nyie wetu
Mbaya wa united nafikiri atakuwepo LEONARD ULLOA, VIVA THE FOXES, HUU MWAKA WETUT. Martins game ya leicester city vs Man U baba hilo game yani litapigwa game mpaka nyasi ziwake moto, paleee old Trafford kitanukaa. Halafu hii ndiyo match yakuweka mkeka na kuweka upande wa leicester city
Acha waombe tu Hawa ndo mabingwa wetu ila OT hatuachii point yao the next week ndo watangazwe...Maombi yanaendelea........
Wamepania
Aiseeee siamini ni wewe aiseee!!!! Duhhhhhhhhhhhh!!!!!!
Acha waombe tu Hawa ndo mabingwa wetu ila OT hatuachii point yao the next week ndo watangazwe...
Ya halal Ile, ilikuwa yellow ya piliMie nauliza ile red card mmeionaje wakuu?
Nimeshangaa sana!
Wanaweza tangaza juma3 km tothenam ata draw au kufungwa vs chelseaLeo Antonio martial kawanyima the foxes kutangaza ubingwa
Sawa ndio nauliza ile yellow ya pili ni halali?kuna faulo gani iliyotendeka pale?Ya halal Ile, ilikuwa yellow ya pili
Sawa ndio nauliza ile yellow ya pili ni halali?kuna faulo gani iliyotendeka pale?Ya halal Ile, ilikuwa yellow ya pili
ni kadi kabisa ile intention ya kucheza faulo ilikuwepo ... Alafu pia alishaonywa mara nyingiSawa ndio nauliza ile yellow ya pili ni halali?kuna faulo gani iliyotendeka pale?
Au ndio mambo ya refa kasema basi!
Marefa inabidi wawe wanariadha sasa ili kuwa na uwezo wa kuwepo eneo la action na kuona vizuri
Mtaani upoooooo, wapi umepotea, Ulitabiri vizuri mtani wangu, basi ntaanza kukuuliza ubashiri match za siku husika ili niweke mkeka(bet)......halafu 10% itakuhusuAcha waombe tu Hawa ndo mabingwa wetu ila OT hatuachii point yao the next week ndo watangazwe...