SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
- Thread starter
- #61
my pacha wala si uchokozi mambo ya kupiga nyunyu la ukweli hivo ndo nini?af si unajua miunyunyu wa wanaume ilivo mitamu!sa piga picha iwe imetupiwa na mtoto wa kiume wa mama yangu aliyeniachia ziwa ahahahahhahahhahahha chezeya pacha wangu wewe!kazi kwao vishanshuda wanaokuzimia chini kwa chini af wanajifanya kukulalia ili ufike bei!ahahahhah we unafanya mchezo na pama hilo!:yo:
Wewe haya tu...naona leo umeniweza..but ngoja nikuitie kiboko yako The Boss
Last edited by a moderator: