SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Mara nyingi ninapofanya safari zangu za kwenda mikoani huwa natumia mabasi..japo pia mara moja moja pale ambapo kipande kimeruhusu naweza kupanda Precision Air..lakini muda mwingi ni mabasi. Kila mara ninaposafiri kwa bahati nzuri au mbaya ninapata siti ambayo inakuwa na mdada hata kama ni siti za watu watatu basi at least atakuwepo mdada..kwa hili sijui hasa kwa nini inatokea hivi!!..
Kama zaidi ya mara tatu hivi ninapokuwa safarini imenitokea wadada ninaokuwa nimekaa nao siti moja kusinzia..inawezekana ni uchovu wa safari au la..sijui kwa kweli..but kinachonishangaza wadada hawa wanapokuwa wamelala hupenda kunilalia begani (leaning on my shoulder)..Mara nyingi ninakuwa sipendi kwa sababu inaniongezea mzigo..lakini wengi wao ninapowashtua kwa nini wananilalia hushtuka na kuniomba samahani..lakini haichukui muda utaona tena mtu kanilalia na saa zingine anakoroma kabisa na mate yanamtoka..Kuna siku nilipanga nimpe mtu nakozz but nikaghairi baada ya kumuamsha mara kibao na kuombwa samahani za kutosha tu..
Wakati nilidhani haya hutokea kwenye safari ndefu..kumbe nilikuwa najidanganya..juzi nikitoka Mwenge kwenda Tegeta dada mmoja tena kwenye daladala kanifanyia the same thing..kiukweli nilibaki kushangaa kwa sababu huu ulikuwa mwendo mfupi kiasi nikashindwa kuelewa huu usingiz wa huyu mdada umetokea wapi??..nilimind na kwa sababu sikupenda kuharibiwa siku ilibidi nisimame ili yeye aendelee kuuchapa!!
Sasa wakubwa najiuliza..hivi nyie wadada mnapotulalia hivi hamjui na sisi tunahisia??..na je ikitokea miye nimekulallia utanielewa?..au wababa wenzangu na nyie yanawakuta haya au ni mimi tu??...Vinginevyo mtafanya nifikirie maamuzi magumu...lol
Kama zaidi ya mara tatu hivi ninapokuwa safarini imenitokea wadada ninaokuwa nimekaa nao siti moja kusinzia..inawezekana ni uchovu wa safari au la..sijui kwa kweli..but kinachonishangaza wadada hawa wanapokuwa wamelala hupenda kunilalia begani (leaning on my shoulder)..Mara nyingi ninakuwa sipendi kwa sababu inaniongezea mzigo..lakini wengi wao ninapowashtua kwa nini wananilalia hushtuka na kuniomba samahani..lakini haichukui muda utaona tena mtu kanilalia na saa zingine anakoroma kabisa na mate yanamtoka..Kuna siku nilipanga nimpe mtu nakozz but nikaghairi baada ya kumuamsha mara kibao na kuombwa samahani za kutosha tu..
Wakati nilidhani haya hutokea kwenye safari ndefu..kumbe nilikuwa najidanganya..juzi nikitoka Mwenge kwenda Tegeta dada mmoja tena kwenye daladala kanifanyia the same thing..kiukweli nilibaki kushangaa kwa sababu huu ulikuwa mwendo mfupi kiasi nikashindwa kuelewa huu usingiz wa huyu mdada umetokea wapi??..nilimind na kwa sababu sikupenda kuharibiwa siku ilibidi nisimame ili yeye aendelee kuuchapa!!
Sasa wakubwa najiuliza..hivi nyie wadada mnapotulalia hivi hamjui na sisi tunahisia??..na je ikitokea miye nimekulallia utanielewa?..au wababa wenzangu na nyie yanawakuta haya au ni mimi tu??...Vinginevyo mtafanya nifikirie maamuzi magumu...lol