LEAK: Document ya hukumu ya Godbless Lema HAPA

Tatizo la hii hukumu hili hapa
1.Sheria ya uchaguzi inasema katika kifungu 108[1] kuwa hapa ukitumia lugha ya matusi,kumdhalisha mshindani wako kijinsia,unakuwa umetenda kosa.Na unarusiwa kushiriki chaguzi

2.Wakati kifungu 108[2] kuwa ikibainika umetoa rushwa au hali inayoonyesha umetoa hongo ni kosa na adhabu yake ni kufungiwa kushiriki uchaguzi kati ya miaka mitano au kumi.

Mantiki ni kuwa jaji kasikiliza kesi kwa kutumia kifungu 108[1] na ametoa hukumu kwa kutumia kifungu 108[2] kitu ambacho ni kosa

Huo ndiyo uelewa wangu
 
Mkuu nimejaribu kutoa somo hapo juu lakini baadhi wanakuja na hayo maneno "Beyond Reasonable Doubt!" They don't care that this is a Civil Case!

OK ingawa ni kweli kuwa katika kesi hii standard of proof haikuwa beyonde reasonable doubts, bado ushahidi uliotolewa haukuwa unatosheleza standard ya "clear and convincing evidence" ambayo ndiyo inayotakiwa katika kesi hii kwa vile hukumu yake inawagusa watu wengi ikiwa ni pamoja na wanachi wote wa arusha kukosa kuwakilishwa bungeni. Hukumu ya jaji huyu imetumia lowest standard ya preponderance of the evidence .

Kuna mambo mengine mengi ya kujadili kwenye hukumu hii ila muda ni adimu; nitarudi mara moja moja.
 
Tatizo la hii hukumu hili hapa
1.Sheria ya uchaguzi inasema katika kifungu 108[1] kuwa hapa ukitumia lugha ya matusi,kumdhalisha mshindani wako kijinsia,unakuwa umetenda kosa.Na unarusiwa kushiriki chaguzi

2.Wakati kifungu 108[2] kuwa ikibainika umetoa rushwa au hali inayoonyesha umetoa hongo ni kosa na adhabu yake ni kufungiwa kushiriki uchaguzi kati ya miaka mitano au kumi.

Mantiki ni kuwa jaji kasikiliza kesi kwa kutumia kifungu 108[1] na ametoa hukumu kwa kutumia kifungu 108[2] kitu ambacho ni kosa

Huo ndiyo uelewa wangu

Mkuu,

Una uhakika na ulichoandika hapo juu? Je unaweza kuitoa hiyo sheria ya uchaguzi inayosema hivyo?

Angalia hii link ili kujua sheria ya uchaguzi ya mwaka 2010 inasema nini.

http://www.tz.undp.org/ESP/docs/Legal_Documents/National_Elections_Act-Cap_343.PDF
 
It is "malaigwanani". According to petitioner No.3 cum PW.3 Happy Emmanuel Kivuyo, "malaigwanani" are prestigious men aged 40 years or above among the Waarusha and Wamasai tribes. Men of that type are capable of taking care of their families and keeping enough livestock. Therefore men of those tribes who can not support their respective families or keep livestock don't fit to become "malaigwanani". So that men of stray are automatically ruled out from the category of "malaigwanani".



Hapo kwenye red, tafsiri ya Malaigwanani imekosewa tena sana- Haina maana hiyo. Laigwanani ni Mshili wa ukoo fulani au Rika fulani (Generally ni viongozi wa kimila).
 
Msijadili umbe sio credibility tuu kuna fuse inakosekana! Watumishi wenzi wanakili!
 
"It is a considered view of this court that PW.1 could not have influenced all witnesses who testified for petitioners in this petition because it transpired in their examination in chief or cross-examination that he didn't know most of them before the 2010 election campaign period"

Hii assumption ya Judge ni mbaya sana, hasa kwenye hii corrupt era!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

"Mr.Kimomogoro, learned Counsel in his written final submission at page 57 prayed on this court on behalf of respondent No.1 to dismiss this petition after he opined, inter alia, that there was no independent credible evidence to prove to the satisfaction of the court that the 1[SUP]st[/SUP] respondent ever made prohibited statements at any of the nine campaign rallies in respect of which the petitioners adduced evidence. He opined further that the proven circumstantial evidence makes it highly improbable the making of such prohibited statements and, therefore the petitioners' oral evidence must have been rehearsed and fabricated lies originating from PW.1 Musa Hamis Mkanga".


Kwa nini judge hataki kukubaliana na huu ukweli uliosemwa na kimomogoro? Kwa nn muda wote amekuwa akiside kwenye upande wa washitaki? na kukataa kwamba Musa hamisi Mkanga hawezi kuinfluence mashahidi kwa sababu hawakufahamiana kabla ya kampeni za 2010, Je yy judge ana ushahidi gani juu hayo? Hizi paragragh 2 ya judge na wakili kimomogoro zinanifanya niamini kuwa judge alikuwa na prior information (that in whatever way possible lazima atengue Ubunge wa Lema).

 
Hapo jaji kakurupuka sana ktk hii hukumu,kajikita kuchambua na kusifia historia na maisha ya mashahidi pamoja na walalamikaji huku akiponda direct ushahidi wa upande wa pili.Kisheria ni kwamba MTU YEYOTE timamu anaweza kutoa ushahidi Mahakamani.Sasa jaji anapokadaa ushahidi wa makada wa chadema ata simuelewi kabisa.Unapoanza kuisoma mwanzoni kabisa hukumu hii utagundua tu matokeo yakoje kwani hoja nyingi hazikujibiwa vizuri.Nashukuru Mungu kwamba hukumu hii haina weledi wa kisheria na hivyo basi kuna kila dalili ya kushinda ktk rufaa.Nachohofia ni endapo uzandiki utatokea na mahakama ya rufaa ikakubaliana na maamuzi haya na kisha kuyafanya kuwa msingi/kioo cha maamuzi yatakayofuata baadaye i.e precedent.Hilo likitokea,basi huenda peoples power ikatakiwa kuiweka mahakama under microscope kwani iwapo haki haipatikani mahakamani njia inayobaki ni moja tu,PEOPLE'S POWER
 
Hapo jaji kakurupuka sana ktk hii hukumu,kajikita kuchambua na kusifia historia na maisha ya mashahidi pamoja na walalamikaji huku akiponda direct ushahidi wa upande wa pili.Kisheria ni kwamba MTU YEYOTE timamu anaweza kutoa ushahidi Mahakamani.Sasa jaji anapokadaa ushahidi wa makada wa chadema ata simuelewi kabisa.Unapoanza kuisoma mwanzoni kabisa hukumu hii utagundua tu matokeo yakoje kwani hoja nyingi hazikujibiwa vizuri.Nashukuru Mungu kwamba hukumu hii haina weledi wa kisheria na hivyo basi kuna kila dalili ya kushinda ktk rufaa.Nachohofia ni endapo uzandiki utatokea na mahakama ya rufaa ikakubaliana na maamuzi haya na kisha kuyafanya kuwa msingi/kioo cha maamuzi yatakayofuata baadaye i.e precedent.Hilo likitokea,basi huenda peoples power ikatakiwa kuiweka mahakama under microscope kwani iwapo haki haipatikani mahakamani njia inayobaki ni moja tu,PEOPLE'S POWER

Nimeipitia hukumu yote hiyo kwa makini sana na kuona kuwa kweli ina udhaifu mkubwa sana. Sijui mahakimu wetu hutoaje hukumu za kesi za kawaida iwapo kesi hii yenye publicity kubwa wameikurupukia namna hiyo.

Hukumu hii ni lazima iwe repealed kwa vile inaweka precedence mbuvu kwa kesi za uchaguzi katika siku zijazo. Itaruhusu kila mtu kufungua kesi kupinga matokeo ya uchaguzi iwapo tu ataweza kumfundisha afisa wa jeshi yeyote aliyestaafu jeshini kuwa shahidi wake mradi tu mtu huyo awe amestaafu kwa heshima na kuishi maisha ya kawaida ya kijijini.
 
Hapo jaji kakurupuka sana ktk hii hukumu,kajikita kuchambua na kusifia historia na maisha ya mashahidi pamoja na walalamikaji huku akiponda direct ushahidi wa upande wa pili.Kisheria ni kwamba MTU YEYOTE timamu anaweza kutoa ushahidi Mahakamani.Sasa jaji anapokadaa ushahidi wa makada wa chadema ata simuelewi kabisa.Unapoanza kuisoma mwanzoni kabisa hukumu hii utagundua tu matokeo yakoje kwani hoja nyingi hazikujibiwa vizuri.Nashukuru Mungu kwamba hukumu hii haina weledi wa kisheria na hivyo basi kuna kila dalili ya kushinda ktk rufaa.Nachohofia ni endapo uzandiki utatokea na mahakama ya rufaa ikakubaliana na maamuzi haya na kisha kuyafanya kuwa msingi/kioo cha maamuzi yatakayofuata baadaye i.e precedent.Hilo likitokea,basi huenda peoples power ikatakiwa kuiweka mahakama under microscope kwani iwapo haki haipatikani mahakamani njia inayobaki ni moja tu,PEOPLE'S POWER
 
Hapa Nilitegemea Judge apate Vinasaba kutoka kwa EL,mtoto aliyezaliwa wa Batilda, Baltida na Mumewe Kabla ya kutoa hukumu yake. Hivi itakuaje kama aliyosema Lema ni Ukweli?
 


It is a considered view of this court that the parent legislation in matters of elections exhaustively deals with the criterion of people who are competent to institute election petitions. So that under Section III (1) of The National Elections Act, Cap. 343, it is provided that an election petition may be presented by one, or more of the following persons namely –
"(a) a person who lawfully vote or had a
right to vote at the election to which the petition relates;
(b) a person claiming to have had a right to
be nominated at such election;
(c) a person alleging to have been a
candidate at such election; and
(d) The Attorney General."

In the material petition, the petitioners therefore, have the statutory rights under Section III(1)(a) of The Elections Act (supra) to institute this petition. Their rights to institute the same, therefore, don't necessarily rely on other legislations due to the simple reason that they averred in paragraph 2 of the petition that they were registered voters and were entitled to vote at the election to which this petition relates. Copies of their voters' cards were annexed thereto and marked A(1-3).

Wakuu hapa naona nina matatizo yafuatayo:
1. Tatizo na citation (ie jinsi anavyotaja Sheria) anayotumia Jaji. Ametaja The National Elections Act, Cap. 343 bila kutaja kuwa imekuwa Revised lini. Ikumbukwe kuwa mara nyingi inapotokea Revision ya Sheria mbalimbali baadhi ya vifungu huwa vinabadilika. Kwa mfano Vifungu vya Revised Edition, 2002 ni tofauti na Revised Edition, 2010! Eg. Section 4A ya Revised Edition 2010 haipo kwenye Revised Edition 2002.

Sasa hapa Jaji alikuwa anamaanisha Cap. 343, R. E. 2002 au 2010?

2. Tatizo la Kifungu III (i) (a). Hiki kifungu hakipo (aidha katika Revised Edition 2002 au 2010), labda kama alikuwa anamaanisha PART III, CHAPTER III au Section 3 (i) (a). Kama alikuwa anamaanisha Section 3 (i) (a) nayo haipo katika Editions zote mbili, isipokuwa kuna Section 3 tu kwa kila Edition ambayo inasema kama ifuatavyo: "All regulations, directions and notices which the commission is empowered to make, issue or give, shall be deemed to have been validly made, issued or given if they are made, issued or given under the signature of the Chairman of the Commission or the Director of Elections." Kama alikuwa anamaanisha PART III au CHAPTER III, nako tatizo lipo: Katika Edition zote hazizungumzii citation aliyoikweka hapo juu.

Swali ni kwamba kifungu hiki (Section III (i) (a)) alikitoa wapi? Kama kuna kitu nime-overlook niko tayari kusahihishwa wakuu! Mbarikiwe!
Nawasilisha kwa mjadala zaidi!
 
Tatizo la hii hukumu hili hapa
1.Sheria ya uchaguzi inasema katika kifungu 108[1] kuwa hapa ukitumia lugha ya matusi,kumdhalisha mshindani wako kijinsia,unakuwa umetenda kosa.Na unarusiwa kushiriki chaguzi

2.Wakati kifungu 108[2] kuwa ikibainika umetoa rushwa au hali inayoonyesha umetoa hongo ni kosa na adhabu yake ni kufungiwa kushiriki uchaguzi kati ya miaka mitano au kumi.

Mantiki ni kuwa jaji kasikiliza kesi kwa kutumia kifungu 108[1] na ametoa hukumu kwa kutumia kifungu 108[2] kitu ambacho ni kosa

Huo ndiyo uelewa wangu

Mkuu evoddy,
Ume-quote kutoka kwenye Edition ipi maana Section 108 (1) ya National Elections Act, Cap. 343, R. E. 2010 inasema kama ifuatavyo: "Pursuant to the limitation imposed by sub-Article (7) of Article 41 of the Constitution, the provisions of this section shall apply only in relation to the election of a candidate as a Member of Parliament."


Sasa hayo mambo ya "lugha ya matusi" yametokea wapi?
 
Hapa Nilitegemea Judge apate Vinasaba kutoka kwa EL,mtoto aliyezaliwa wa Batilda, Baltida na Mumewe Kabla ya kutoa hukumu yake. Hivi itakuaje kama aliyosema Lema ni Ukweli?

Mkuu IPECACUANHA,
Jaji asingeweza kujadili suala ambalo halikuwa raised Mahakamani na party yeyote (ie asinge-raise issue "suo motu")
 
Mkuu evoddy,
Ume-quote kutoka kwenye Edition ipi maana Section 108 (1) ya National Elections Act, Cap. 343, R. E. 2010 inasema kama ifuatavyo: "Pursuant to the limitation imposed by sub-Article (7) of Article 41 of the Constitution, the provisions of this section shall apply only in relation to the election of a candidate as a Member of Parliament."


Sasa hayo mambo ya "lugha ya matusi" yametokea wapi?

Mkuu unaweza kutupa link ya latest edition? Edition niliyo nayo nashindwa kuiunganisha na zile regulations za maadili ya uchaguzi za 2010.

Vipi kama thread ingehamishiwa jukwaa la sheria?
 
Mkuu unaweza kutupa link ya latest edition? Edition niliyo nayo nashindwa kuiunganisha na zile regulations za maadili ya uchaguzi za 2010.

Vipi kama thread ingehamishiwa jukwaa la sheria?

Niliyonayo ni Edition ya 2010, wewe unayo ipi? Kuhusu kuihamishia Jukwaa la Sheria, kwa kuwa imekaa "kisiasa zaidi" sijui kama itakuwa vema kuihamishia Jukwaa la Sheria! Kama wadau wakiunga mkono hoja yako basi nita/tutaihamishia Jukwaa hilo!
 
Anamtaka ' my brother mujulizi" huenda lema kumtosa mujulizi ilimuuma sana, amekuwa PARTIAL"
 
Back
Top Bottom