KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
What if ni edited?
Kwa Kwam maelezo ya mashahidi ni dhahili Batilda Buriani alitakiwa kufika mahakamani ili kuiridhisha mahakama kuwa yeye hajazaa nje ya ndoa; pia yaliyosemwa yamemzalilisha kijinsia. Mahakama kujiridhisha kuwa Lema alimkashfu Batilda pasipo ama Batilda mwenyewe kufika mahakamani kutoa ushahidi au Lowassa Au Mume wa Batilda sioni kama kuna msingi sahihi wa kufuta ushindi Especially on the following reference "There must be evidences without any reasonable doubt justifying the quoted sections!!" What I see here is a personal feeling of the Judge not ethical conduct of the same!
Kitendo cha judge kuridhika kwamba afisa mstaafu wa jeshi alikuwa mpita njia aliposikia yale maneno hakitoshi kuthibitisha kuwa aliyosema dhidi ya Lema ni kweli hasa unapozingatia public interest.
Wadai walikuwa na haki ya kufungua mashtaka lakini bado walilazimika kuonyesha angalau kiapo cha Batilda akithibitisha kuwa yaliyosemwa yamemdhalilisha/ au kumkashfu!!.
ENDAPO HII NDIYO NAKALA YA HUKUMU; BASI HAKUNA HAJA YA KWENDA MAHAKAMANI UNAPOONEWA NI BORA UCHUKUE SHERIA MKONONI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
lugha ya kimahakama ni ngumu kama sio mwanasheria lazima ushike kamusi.
noted thanks
Kweli umbumbumbu wa kutojua sheria, yaani hukumu iliyotolewa inakuwa SIRI?
Kweli JF kuna ma great thinkers
Kweli umbumbumbu wa kutojua sheria, yaani hukumu iliyotolewa inakuwa SIRI?
Kweli JF kuna ma great thinkers
Kwani hii ilikuwa kesi ya jinai?Kwa uelewa wangu mdogo wa sheria: Kinachokosekana hapa ni kile sheria huwa inasema: "Prove beyond reasonable doubt".
Kwani hii ilikuwa kesi ya jinai?
kweli kizungu kinatisha, maana wachangiaji hapa siwaoni.
jamani iatafsiriwe kwa kiswahili