Le mutuz kuoa binti mbich aliyezidi miaka 25

Status
Not open for further replies.
acheni ushamba.mbona amsemi ya mengi.le mutuz ni social mixing up na watu ndo mana....ohhh.asimamish uliwai kumpa?waleta taarab jf.
big up lemutuz.
 
huyu si kuna taarifa kuwa ni mchicha mwiba huyu! mambo ya kuoa anaanzaje sasa
 
HV UNAWEZAJE JUA JOGOO WA MTU APANDI?<tetesi tu zaweza kukuthibitishia juu ya hili?> eleza kwa kina
 
Ataoela kwa baba yake?kwetu ni mwiko[abomination] ukitaka kuoa kwanza jenga nyumba yako na nunua godoro lako mwenyewe,sio kuolea kwenye godoro ulilonunuliwa na baba yako.
 
Ni jambo la heri na baraka kuoa, maana sasa hivi yuko single na anishi kwa wazazi, anamkera sana Mama Anna Kilango. Akioa bila shaka atahamia kwake. Hongera Le Mutuz, Le Baharia.
 
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini wiliam j.malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.
Kwani wewe hautambui ya kuwa Le Mutuz ni taahira?
 
Unaujua umri wa Le Mutuz au unabashiri tu?

Le Mutuz ni over 50!!!! Nilimuona maeneo ya kati mjini juzi Ijumaa amakakamata hako kabinti kiuno wanatembea!!!! Basi vijana wauza mitumba pale jirani na Imalaseko wakawa wanacheka sana!! Si unajua mambo ya Kiamerika tena!!! Halafu huku anaongea na jamaa Fulani kwenye simu akimueleza kuwa ana mpango wa kufungua TV na Radio. Nilicheka sana!! Kabinti ni kadogoo hakika, binti wa kumzaa!!
 
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini wiliam j.malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.

Achaneni naye huyo, ndoa haitadumu, labda tu kama huyo dem atavumilia kumwona mumewe akiliwa kiboga! SHOGA HAACHI ASILI!
 
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini wiliam j.malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.

Wewe ni mkristo?Yusuf akiwa na miaka 90 alimchumbia maria mwenye umri wa miaka 12!Iwapo wewe ni mwislam tuambie mtume alioa binti wa miaka mingapi?Kama huna dini ama unafuata dini za jadi,una kitu cha kushangaa hapo?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Nyie washenzi acheni ushamba. Mimi nipo kijijini kuna mzee 1 mwenye miaka zaidi ya 70 anacharaza bakora balaa kwa mabinti wadogo na wanamu-appreciate kinoma. Msifikiri wanaume wote wana udhaifu low libido kama mlivyo ninyi. Malechela endelea na mpango wako, watu FITINA wasikukatishe TAMAA. Kila mtu ana maamuzi yake katika maisha yake binafsi. Msipende kuingilia MAAMUZI binafsi ya mtu.
Upo kijiji gani mkuu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom