King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Hahaha lmbfao.
Ngoja nisiseme khaa.
Ngoja nisiseme khaa.
Amesema hachangishi mtu, kuna pedeshee kajitolea gharama zote.
Amesema hachangishi mtu, kuna pedeshee kajitolea gharama zote.
ahahahahahaNi jambo la heri na baraka kuoa, maana sasa hivi yuko single na anishi kwa wazazi, anamkera sana Mama Anna Kilango. Akioa bila shaka atahamia kwake. Hongera Le Mutuz, Le Baharia.
Kwani wewe hautambui ya kuwa Le Mutuz ni taahira?Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini wiliam j.malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.
Unaujua umri wa Le Mutuz au unabashiri tu?
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini wiliam j.malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini wiliam j.malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi wanaojiuliza ni kwamba le mutuz ana umri zaidi ya miaka 50 na huyo binti ana miaka 25 tu. Hivi imekaaje hii wadau. Anyway hongera le super mutuz le baharia kwa kuopoa mtoto mbichii yani umeokota chungwa chini ya muorabaini.
Hili bwabwa linaoa kuficha aibu, h3bu angalia picha yake hapo kama sio babu jinga ni nani?
Upo kijiji gani mkuu?Nyie washenzi acheni ushamba. Mimi nipo kijijini kuna mzee 1 mwenye miaka zaidi ya 70 anacharaza bakora balaa kwa mabinti wadogo na wanamu-appreciate kinoma. Msifikiri wanaume wote wana udhaifu low libido kama mlivyo ninyi. Malechela endelea na mpango wako, watu FITINA wasikukatishe TAMAA. Kila mtu ana maamuzi yake katika maisha yake binafsi. Msipende kuingilia MAAMUZI binafsi ya mtu.