Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,321
- 17,816
Kumbe zinafaa kuziiba hizi.
Haha upo kazini eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe zinafaa kuziiba hizi.
Nilipo ipo LCD tv Hisense, sio hii branded startimes ila nahisi specs zitafanana kiasi. Ina:Msaada wenu wadau, kuna hizi lcd tv za startimes naziona zipo kwenye promo, kwa yeyote ambaye anaujua utendaji wake atujulishe, zinasemekana zina Hisense technology, kwa anayejua pia hisense ni nini atuelimishe, at least na sisi wengine tujidai na flat screen za bei rahisi
Sidhani hili suala la TV kuwa HD lina maana hapa Bongo, hakuna Tv station inayorusha matangazo yake kwa mtindo wa HD hapa Bongo kwa hiyo haitakuwa tofauti na TV ya kawaida tu. Haya mambo ya HD, 3D yanategemeana na transmittion otherwise wafanya biashara wanatupata tu. Kwa hapa Bongo kununua TV ya 3D au ya HD ni kuingia gharama ya ziada, labda kama unanunua mapema ukisubiri vituo vyetu vielekee huko.Kaka, Naomba kama unanunua 42" na Zaidi uwaulize
"Je Hii T.V ni FULL HD au is it just HD READY ?"
Hili ni swali ni kama unanunua screen 42" and above. Other wise kama ni chini ya 42" hata HD READY T.V inafaa.
Kama mnajiuliza tofauti soma hapa: Whats difference between HD-READY and FULL-HD
B.P (2010)
Hadi leo bado hii theory iko valid?Sidhani hili suala la TV kuwa HD lina maana hapa Bongo, hakuna Tv station inayorusha matangazo yake kwa mtindo wa HD hapa Bongo kwa hiyo haitakuwa tofauti na TV ya kawaida tu. Haya mambo ya HD, 3D yanategemeana na transmittion otherwise wafanya biashara wanatupata tu. Kwa hapa Bongo kununua TV ya 3D au ya HD ni kuingia gharama ya ziada, labda kama unanunua mapema ukisubiri vituo vyetu vielekee huko.
wengine tunatumia kuangalia youtube na movie 4k......ni bora iwe overspeckedSidhani hili suala la TV kuwa HD lina maana hapa Bongo, hakuna Tv station inayorusha matangazo yake kwa mtindo wa HD hapa Bongo kwa hiyo haitakuwa tofauti na TV ya kawaida tu. Haya mambo ya HD, 3D yanategemeana na transmittion otherwise wafanya biashara wanatupata tu. Kwa hapa Bongo kununua TV ya 3D au ya HD ni kuingia gharama ya ziada, labda kama unanunua mapema ukisubiri vituo vyetu vielekee huko.