valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
zote kali.... Nimecheka si kipolepole!
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo.Wananchi,ndugu,jamaa,marafiki na majirani waliamua kumuenzi dokta kwa kumchongea jeneza zuuuri lenye shape ya moyo.Wakati maelfu ya watu wanapita kutoa heshma za mwisho na kuaga mwili wa marehemu,ghafla wakasikia mtu anacheka sana tena kwa sauti ya juu.Watu walidadisi wakagundua anayecheka alikua akifanya kazi na marehemu.
Ndipo Padri akaenda kumuuliza
PADRI:Ndugu mbona unacheka sana na unajua hapa ni msibani?Au umefurahi mwenzako kufa?
JAMAA:Hahahahahaha nisameheni jamani.Mimi najiuliza siku nikifa jeneza langu litakuaje,maana mim ni daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake..hahaha.
padri alienda kuchekea stoo.
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo.Wananchi,ndugu,jamaa,marafiki na majirani waliamua kumuenzi dokta kwa kumchongea jeneza zuuuri lenye shape ya moyo.Wakati maelfu ya watu wanapita kutoa heshma za mwisho na kuaga mwili wa marehemu,ghafla wakasikia mtu anacheka sana tena kwa sauti ya juu.Watu walidadisi wakagundua anayecheka alikua akifanya kazi na marehemu.
Ndipo Padri akaenda kumuuliza
PADRI:Ndugu mbona unacheka sana na unajua hapa ni msibani?Au umefurahi mwenzako kufa?
JAMAA:Hahahahahaha nisameheni jamani.Mimi najiuliza siku nikifa jeneza langu litakuaje,maana mim ni daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake..hahaha.
padri alienda kuchekea stoo.