Lazima utanivulia

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Huna ujanja lazima utanivulia,hata kama ungengombana na mimi lazima utanivulia ch*pi,lazima utanikali,utasikia raha na siku nyingine
utanikalia tena mpaka uridhika,utanikalia ukiwa uchi na hutaona aibu.....hayo ni maneno choo ilikuwa inamwambia mtu.
 
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo.Wananchi,ndugu,jamaa,mara
fiki na majirani waliamua kumuenzi dokta kwa kumchongea jeneza zuuuri lenye shape ya moyo.Wakati maelfu ya watu wanapita kutoa heshma za mwisho na kuaga mwili wa marehemu,ghafla wakasikia mtu anacheka sana tena kwa sauti ya juu.Watu walidadisi wakagundua anayecheka alikua akifanya kazi na marehemu.
Ndipo Padri akaenda kumuuliza
PADRI:Ndugu mbona unacheka sana na unajua hapa ni msibani?Au umefurahi mwenzako kufa?
JAMAA:Hahahahahaha nisameheni jamani.Mimi najiuliza siku nikifa jeneza langu litakuaje,maana mim ni daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake..hahaha.
padri alienda kuchekea stoo.
 
Majamaa wawili walikuwa walikutana kwenye seat moja ndani ya basi,
jamaa mmoja akamwuliza mwenzake,mbona unawaza sana ndugu yangu,
jamaa akajibu nina matatizo ya kifamilia,mi na mke kila siku ugomvi.
jamaa akamjibu huna matatizo ya kifamilia kama mimi,
Mi nilimwoa mjane ambaye alikuwa na binti mwenye miaka 19,halafu baba yangu
akamwoa huyo binti na kuzaa naye, kwahiyo watoto wa hao binti yangu ambaye ameolewa na baba yangu
wananita kama babu halafu ndugu upande wa baba yangu wananita baba mkwe,halafu watoto wa binti huyo wanajua baba yangu ndo kijana wangu.je una matatizo kama mimi kweli?
 
Majamaa wawili walikuwa walikutana kwenye seat moja ndani ya basi,
jamaa mmoja akamwuliza mwenzake,mbona unawaza sana ndugu yangu,
jamaa akajibu nina matatizo ya kifamilia,mi na mke kila siku ugomvi.
jamaa akamjibu huna matatizo ya kifamilia kama mimi,
Mi nilimwoa mjane ambaye alikuwa na binti mwenye miaka 19,halafu baba yangu
akamwoa huyo binti na kuzaa naye, kwahiyo watoto wa hao binti yangu ambaye ameolewa na baba yangu
wananita kama babu halafu ndugu upande wa baba yangu wananita baba mkwe,halafu watoto wa binti huyo wanajua baba yangu ndo kijana wangu.je una matatizo kama mimi kweli?
Ni mkanyagano tu. Nalog off
 
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo.Wananchi,ndugu,jamaa,mara
fiki na majirani waliamua kumuenzi dokta kwa kumchongea jeneza zuuuri lenye shape ya moyo.Wakati maelfu ya watu wanapita kutoa heshma za mwisho na kuaga mwili wa marehemu,ghafla wakasikia mtu anacheka sana tena kwa sauti ya juu.Watu walidadisi wakagundua anayecheka alikua akifanya kazi na marehemu.
Ndipo Padri akaenda kumuuliza
PADRI:Ndugu mbona unacheka sana na unajua hapa ni msibani?Au umefurahi mwenzako kufa?
JAMAA:Hahahahahaha nisameheni jamani.Mimi najiuliza siku nikifa jeneza langu litakuaje,maana mim ni daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake..hahaha.
padri alienda kuchekea stoo.

khe the the kweli profesheno nyingine ni nouma
 
Majamaa wawili walikuwa walikutana kwenye seat moja ndani ya basi,
jamaa mmoja akamwuliza mwenzake,mbona unawaza sana ndugu yangu,
jamaa akajibu nina matatizo ya kifamilia,mi na mke kila siku ugomvi.
jamaa akamjibu huna matatizo ya kifamilia kama mimi,
Mi nilimwoa mjane ambaye alikuwa na binti mwenye miaka 19,halafu baba yangu
akamwoa huyo binti na kuzaa naye, kwahiyo watoto wa hao binti yangu ambaye ameolewa na baba yangu
wananita kama babu halafu ndugu upande wa baba yangu wananita baba mkwe,halafu watoto wa binti huyo wanajua baba yangu ndo kijana wangu.je una matatizo kama mimi kweli?

Madingi wa siku hizi ni nouma wanaung'ang'ania mno
 
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo.Wananchi,ndugu,jamaa,mara
fiki na majirani waliamua kumuenzi dokta kwa kumchongea jeneza zuuuri lenye shape ya moyo.Wakati maelfu ya watu wanapita kutoa heshma za mwisho na kuaga mwili wa marehemu,ghafla wakasikia mtu anacheka sana tena kwa sauti ya juu.Watu walidadisi wakagundua anayecheka alikua akifanya kazi na marehemu.
Ndipo Padri akaenda kumuuliza
PADRI:Ndugu mbona unacheka sana na unajua hapa ni msibani?Au umefurahi mwenzako kufa?
JAMAA:Hahahahahaha nisameheni jamani.Mimi najiuliza siku nikifa jeneza langu litakuaje,maana mim ni daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake..hahaha.
padri alienda kuchekea stoo.

Nimeipenda hii, ilitakiwa iwe THREAD inayojitegemea
 
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo.Wananchi,ndugu,jamaa,mara
fiki na majirani waliamua kumuenzi dokta kwa kumchongea jeneza zuuuri lenye shape ya moyo.Wakati maelfu ya watu wanapita kutoa heshma za mwisho na kuaga mwili wa marehemu,ghafla wakasikia mtu anacheka sana tena kwa sauti ya juu.Watu walidadisi wakagundua anayecheka alikua akifanya kazi na marehemu.
Ndipo Padri akaenda kumuuliza
PADRI:Ndugu mbona unacheka sana na unajua hapa ni msibani?Au umefurahi mwenzako kufa?
JAMAA:Hahahahahaha nisameheni jamani.Mimi najiuliza siku nikifa jeneza langu litakuaje,maana mim ni daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake..hahaha.
padri alienda kuchekea stoo.
LOL!mi am DWL!
 
Back
Top Bottom