mkuu tuliza presha,ukiona huwezi kucheka piga push up 2550 kwa afya yako halafu jimwagie petroli then ujipige kiberiti.
umecommend!? Mh! Hayamkuu hii thread yako imenifanya nicheke tu nilipoifungua, nilivyozidi kusoma hizi commend nikacheka zaidi, mpaka naandika hii commend bado tu nacheka
Hamjaamka bado?karibuni tunywe chai,haters wote nitawanunulia chai na busa