Lazima tuwekane sawa kuhusu UKIMWI

Tahiri na fanya ngono zembe uone kama ukimwi utakuachia. Tafiti zingine zinazidi kutuondosha kwenye kiini cha tatizo. Ukweli ni kuwa tabia zetu chafu katika mambo ya mahusiano na kingono ni mbaya kupindukia.Sio kwa viongozi wala wananchi wa kawaida. Sie tumekuwa watu wa kuwaza ngono kwenda mbele kuliko hata kuleta maendeleo. Tusipokubali kupunguza hiyo kitu au kubadiri tabia hiyo chafu mwishowe wataalamu watatuambia kuwa suluhisho la kuepuka ukimwi ni kukata uume tu.
 

Moja, Hierachy ya methods za kupambana na ukimwi, inakataa hii method kutangulizwa, nadhani hata kwenye chanzo kimoja hapo juu umeiweka hii. Sasa ukiwaambia watu wasio na elimu ya kutosha kuhusu hii option nadhani utakuwa umeleta madhara kuliko kuwaepusha na janga. Just imagine publicity unayowapa na elimu itakayoingia ktk vichwa vya walengwa, itakuwa kazi kubwa kwa jinsi nionavyo kuwaleta ktk common grounds watu hususan wale wa vijijini (Busanda-type, lol)

Pili, hizi trends kuhusu sijui wanaume waliokuwa circumcised wanaepuka maambukizi by 60%, i am not buying this crap. Methodology iliyotumika hadi ku-conclude kuwa Mr. X aliepuka maambukizi kwa sababu ya circumsion, na Mr.Y ameambukizwa kwa sababu hakuwa circumcised , inakuwa based kwa ku-fix other factors, which is typically ridiculous.

I don't know how they come to that conclusion. All in all, we need to be content with all absolute conclusions if they are really valid or just the politically polished urban legends. I'm saving further comments based on #1, and secondly i don't want to go into consiracy theories etc.

CChheeeerrss..
 
Moja, Hierachy ya methods za kupambana na ukimwi, inakataa hii method kutangulizwa, nadhani hata kwenye chanzo kimoja hapo juu umeiweka hii. Sasa ukiwaambia watu wasio na elimu ya kutosha kuhusu hii option nadhani utakuwa umeleta madhara kuliko kuwaepusha na janga. Just imagine publicity unayowapa na elimu itakayoingia ktk vichwa vya walengwa, itakuwa kazi kubwa kwa jinsi nionavyo kuwaleta ktk common grounds watu hususan wale wa vijijini (Busanda-type, lol)

Pili, hizi trends kuhusu sijui wanaume waliokuwa circumcised wanaepuka maambukizi by 60%, i am not buying this crap. Methodology iliyotumika hadi ku-conclude kuwa Mr. X aliepuka maambukizi kwa sababu ya circumsion, na Mr.Y ameambukizwa kwa sababu hakuwa circumcised , inakuwa based kwa ku-fix other factors, which is typically ridiculous.

I don't know how they come to that conclusion. All in all, we need to be content with all absolute conclusions if they are really valid or just the politically polished urban legends. I'm saving further comments based on #1, and secondly i don't want to go into consiracy theories etc.

CChheeeerrss..


You have said it all!

Braza unapatikana wapi? Tuungane katika hizi harakati.

Ni PM ukiweza!
 
Tahiri na fanya ngono zembe uone kama ukimwi utakuachia. Tafiti zingine zinazidi kutuondosha kwenye kiini cha tatizo. Ukweli ni kuwa tabia zetu chafu katika mambo ya mahusiano na kingono ni mbaya kupindukia.Sio kwa viongozi wala wananchi wa kawaida. Sie tumekuwa watu wa kuwaza ngono kwenda mbele kuliko hata kuleta maendeleo. Tusipokubali kupunguza hiyo kitu au kubadiri tabia hiyo chafu mwishowe wataalamu watatuambia kuwa suluhisho la kuepuka ukimwi ni kukata uume tu.


Mkuu kazi iko,

Sumu ndani ya Sukari, watu wanakufa lakini hakuna anayeacha kulamba.

Hata hapa JF, utafiti unaonyesha kuwa maada nyingi za "Kivile" watu wanazitembelea sana.

Mungu Ibariki TZ.
 
Tahiri na fanya ngono zembe uone kama ukimwi utakuachia. Tafiti zingine zinazidi kutuondosha kwenye kiini cha tatizo. Ukweli ni kuwa tabia zetu chafu katika mambo ya mahusiano na kingono ni mbaya kupindukia.Sio kwa viongozi wala wananchi wa kawaida. Sie tumekuwa watu wa kuwaza ngono kwenda mbele kuliko hata kuleta maendeleo. Tusipokubali kupunguza hiyo kitu au kubadiri tabia hiyo chafu mwishowe wataalamu watatuambia kuwa suluhisho la kuepuka ukimwi ni kukata uume tu.

andindile,

1. Ngono ni sehemu ya maisha mkuu since time imemorial popote dunuani: it is source of life. Ngono zembe ndo huweza leta HIV!

2. Dunia ina watu 6.6 Bil. na HIV ni kama 40m ambao ni less than 1%!

3. Kama magonjwa yoyote: HIV nayo inapata ufumbuzi na vaccine itapatikana. Sema itachukua mda mrefu kiasi!

taabu hili tatizo limeshika pabaya barani Africa ambapo pia umaskini, malaria n.k pia ni shida!

Ila hiyo ya kukata uume mzee: je ni jawabu kweli?? Si kinyume na haki za binadamu??
 
TUANGALIE BIBLE INAVYOSEMA KUHUSU KUTAHIRIWA...

WARUMI 2

17[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea torati na kujisifia uhusiano wako na Mungu, [/FONT][/FONT]18[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria, [/FONT][/FONT]19[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani, [/FONT][/FONT]20[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria, [/FONT][/FONT]21[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba? [/FONT][/FONT]22[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu? [/FONT][/FONT]23[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria? [/FONT][/FONT]24
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kama ilivyoandikwa, ‘‘Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu Mataifa."
[/FONT][/FONT]25
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii
[/FONT][/FONT]
 
TUANGALIE BIBLE INAVYOSEMA KUHUSU KUTAHIRIWA...

WARUMI 2

17[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea torati na kujisifia uhusiano wako na Mungu, [/FONT][/FONT]18[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria, [/FONT][/FONT]19[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani, [/FONT][/FONT]20[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria, [/FONT][/FONT]21[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba? [/FONT][/FONT]22[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu? [/FONT][/FONT]23[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria? [/FONT][/FONT]24[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kama ilivyoandikwa, ‘‘Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu Mataifa." [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]
[/FONT]25
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii [/FONT]
[/FONT]

MODS naona mmelala lol
 
andindile,

1. Ngono ni sehemu ya maisha mkuu since time imemorial popote dunuani: it is source of life. Ngono zembe ndo huweza leta HIV!

2. Dunia ina watu 6.6 Bil. na HIV ni kama 40m ambao ni less than 1%!

3. Kama magonjwa yoyote: HIV nayo inapata ufumbuzi na vaccine itapatikana. Sema itachukua mda mrefu kiasi!

taabu hili tatizo limeshika pabaya barani Africa ambapo pia umaskini, malaria n.k pia ni shida!

Ila hiyo ya kukata uume mzee: je ni jawabu kweli?? Si kinyume na haki za binadamu??

Ni sehemu ya maisha lakini si kwa mwenendo tunaokwenda nao wabongo. mwanamke anaishi kama daladala ambalo kila mtu hupanda na kushuka ilimradi una nauli ya kulipa. Wanaume nao ndio usiseme ni watu wa kujenga vibanda kila mahali hata meaning ya ndoa hakuna kabisa. Tungeheshimu tendo la ndoa na misingi yake nafikiri wimbo wa ukimwi ungekuwa historia. Usishtuke ninapotumia neno uchafu. Tendo la ndoa linapokuwa halithaminiwi ni uchafu. Fikiria mwanaume mmoja kulala na wanaweke tofauti au mwanamke kulala wanaume tofauti, umaana wa tendo la ndoa upo wapi? kwa staili ya maisha ya namna hiyo ndipo tutahiri na kujiridhisha kuwa tutapona ukimwi?
 
Jamani tuache kupotoshana kiivo acha ukweli udumu,tunao wimbo wetu maarufu na wa killa siku nao ni.KUSUBIRI,KUTUMIA KONDOM,KUWA MWAMINIFU AU KUACHA KABISA.Sasa hayta mambo mengine mio naona ni visingizio tu tuache ngono zembe jamani.
Nadhani nimesomeka..............???????
 
Mkuu; Utafiti wa kisayansi unaonyesha kuwa ambao hawajatahiriwa ni rahisi sana kuambukiza/kuambukizwa ukimwi kuliko waliotahiriwa.

Sawa lakini prevention strategies ziko wazi Abstain, Be faithful and Condomize... sijaona circumcission kama mkakati ingawa kuna unafuu kwa wasio na magovi

Cha maan ni kutoa elimu sahihi, ukisema tu kwamba mtu akitahiriwa anapunguza risk unaweza ona maajabu, mtu hata hatamaliza two months after tohara ataparamia mambo hadi ajijeruhi upya... Mbona basi hawasemi ukipiga chapchap hupati?? maana ni kweli pia??

We need to do more


....Dad
 
Jamani tuache kupotoshana kiivo acha ukweli udumu,tunao wimbo wetu maarufu na wa killa siku nao ni.KUSUBIRI,KUTUMIA KONDOM,KUWA MWAMINIFU AU KUACHA KABISA.Sasa hayta mambo mengine mio naona ni visingizio tu tuache ngono zembe jamani.
Nadhani nimesomeka..............???????


Jile, katika vita dhidi ya UKIMWI, nadhani ni sahihi na wajibu kwa wanasayansi kutuonyesha silaha zote zilizopo, is up to individuals to choose the type of weapon(s) which suits them best.
 
Sio Wachaga tu. Makabila mengi tu ni lazima kutahiriwa. Nakumbuka tulipokuwa High School (miaka ya 1970's), mwanafunzi mwenzetu kutoka Bukoba ilibidi akatahiriwe baada ya kutaniwa sana kwa vile alikuwa hajatahiriwa. Tulikuwa tunaoga kwenye mabafu ambayo hayakuwa na milango, kwa hiyo ilikuwa vigumu kuficha kama ulikuwa umetahiriwa au la!
 
But, pamoja na yote hayo bandugu, Is that Ok kwa Mwanaume katika zama hizi kutokutahiriwa? Inawezekana wapo wengi mabao hawajatahiriwa na hivyo kuongeza chances za kuupata Ukimwi?
 
Hivyo wanaume Mwanza nao hawatahiri!! Ila kutahiri kuna umuhimu kwa kweli, hata kama hakuzuii maambukizo ya ukimwi.
 
But, pamoja na yote hayo bandugu, Is that Ok kwa Mwanaume katika zama hizi kutokutahiriwa? Inawezekana wapo wengi mabao hawajatahiriwa na hivyo kuongeza chances za kuupata Ukimwi?
Mkuu me mwenyewe sijapata hiyo huduma,na afya yangu iko poa,cha muhimu hapa sio swala la kutokutajiriwa tatizo ni nyendo zetu.me uvumilifu ukinichinda najichimbia kunako bafu.Kuna vyanzo vingi sana vya kupata maambukizi ya vvu.
 
Mkuu me mwenyewe sijapata hiyo huduma,na afya yangu iko poa,cha muhimu hapa sio swala la kutokutajiriwa tatizo ni nyendo zetu.me uvumilifu ukinichinda najichimbia kunako bafu.Kuna vyanzo vingi sana vya kupata maambukizi ya vvu.


Duu! Mkuu, napiga picha sipati jibu :)

Kwiii Kwii Kwii!! Teeh teee !!!
 
Mimi naona kuwa uncircumcised men ni rahisi kidogo kuambukizwa HIV kuliko circumcised men na hiyo ni tofauti ndogo sana kuweza kupigia campaign kuwa wanaume wote wawe circumcised ili kujiokoa na HIV. Jamani wazo la IBRAH ni sahihi kuwa SA na Swaziland wasingeongoza katika HIV Transmission maaana wao kutahiri ni jadi yao. HATA HIVYO TOHARA NI JAMBO ZURI KI AFYA KWA WANAUME. Tuache ngono zembe ndio dawa kamili
 
Dear
There are few facts. Kwanza kwa wale ambao hajatahiriwa chini ya ile ngozi huwa kuna ute ute hivi kama maziwa, kisayansi huu una chembe chembe nyeupe za damu amabazo zaweza kueneza kwa virusi zaidi kuliko mmtu mabye hana huo ute ute. Pili kwa wale ambao hawajatahiriwa ile sehemu iliyofunikwa na ile ngozi inayokatwa iko soft na ni rahisi kuchubuka kulika wale waliotahiriwa ambao ngozi inakuwa more resistant. Lastly wale ambao hawajatahiriwa wanakuwa na chance kubwa ya kuwa na vidonda. Circumcision will protect you and your partner.
Willy
 
UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini, hivyobasi haina maana UKIMWI ni ugonjwa ugonjwa ni ule unaokusumbua mfano Malaria, Kansa, Kisukari, nk

mtu anaposema yule ana UKIMWI haangalii kama yule anayemnyooshea kidole kuwa ana UKIMWI ni muathirika wa HIV au KANSA

unaweza kuwa na UKIMWI lakini usiwe na HIV, ugonjwa wa KANSA, KISUKARI ni magonjwa yanayopunguza kinga mwilini kwa CD4 kushambuliwa white blood cells hivyo hiyo husababisha UKIMWI.

Na ndio maana huwezi kukuta muathirika wa HIV katika cheti chake cha kifo haiandikwi kuwa kafa kwa HIV au UKIMWI huandikwa gonjwa lililomuua.

Naomba kusema hivi kuna haja ya hawa IDC na AMREF kutupa elimu sisi watanzania na tuache kuonyeshana vidole na kuita UKIMWI ni ugonjwa
Sio lazima ukubali ila fanya utafiti kwanza ili ukubali au kukataa.
 
Back
Top Bottom