HIKI NDICHO KIZAZI CHETU……….
Siku zote nimekuwa nikisema kwamba, hakuna dhambi kukosoa mtu anapokuwa amefanya kosa. Mtu yeyote anaweza kukosolewa, ni mmoja tu asiyeweza kukosolewa, huyu ni Mungu muumba Mbingu na nchi.
Lakini ninajua, tena nina uhakika kwamba hata Barack Obama anakosolewa, Jakaya Kikwete anaweza kukosolewa, Wibroad Slaa, Freeman Mbowe, Ibrahim Lipumba na wengine wote wanaweza kuk...osolewa. Sababu ni rahisi sana, hawa ni binadamu, sio miungu, sio malaika, sio viumbe kutoka sayari za mars, Jupiter au jua. Wanaweza kukosea na wanapaswa kuwa tayari kukosolewa.
LAKINI: Kuna namna ya ukosoaji inakosa adabu, nadiriki kutamka hapa kwamba idadi kubwa ya WANATANURU vijana (sio wote) hawana adabu katika kueleza hisia zao, kujenga hoja zao na matokeo yake wanamkosea hata Mwenyezi Mungu.
Kwa mfano Rais Kikwete mtu, ana familia yake, ana mke na watoto, Dr. Slaa ni mtu, ana ndugu jamaa na marafiki zake, ana watu wanao mheshimu katika jamii, Mbowe, na viongozi wengine ni watu, hata kama wewe huwaheshimu wanaheshimika na wengine. Unaruhusiwa kuwakosoa lakini uwe na adabu, unaruhusiwa kuwakosoa lakini usiwatukane matusi.
Ukosoaji wako usilenge kuwadhalilisha, ulengekutafakarisha, kufikirisha na kuleta mabadiliko yanayotakikana. Vinginevyo UNAKUWA MPUUZI NA MPUMBAVU KAMA YULE UNAYEMDHANIA KUWA NI MPUUZI NA MPUMBAVU!
NAWASILISHA!See More
.
Siku zote nimekuwa nikisema kwamba, hakuna dhambi kukosoa mtu anapokuwa amefanya kosa. Mtu yeyote anaweza kukosolewa, ni mmoja tu asiyeweza kukosolewa, huyu ni Mungu muumba Mbingu na nchi.
Lakini ninajua, tena nina uhakika kwamba hata Barack Obama anakosolewa, Jakaya Kikwete anaweza kukosolewa, Wibroad Slaa, Freeman Mbowe, Ibrahim Lipumba na wengine wote wanaweza kuk...osolewa. Sababu ni rahisi sana, hawa ni binadamu, sio miungu, sio malaika, sio viumbe kutoka sayari za mars, Jupiter au jua. Wanaweza kukosea na wanapaswa kuwa tayari kukosolewa.
LAKINI: Kuna namna ya ukosoaji inakosa adabu, nadiriki kutamka hapa kwamba idadi kubwa ya WANATANURU vijana (sio wote) hawana adabu katika kueleza hisia zao, kujenga hoja zao na matokeo yake wanamkosea hata Mwenyezi Mungu.
Kwa mfano Rais Kikwete mtu, ana familia yake, ana mke na watoto, Dr. Slaa ni mtu, ana ndugu jamaa na marafiki zake, ana watu wanao mheshimu katika jamii, Mbowe, na viongozi wengine ni watu, hata kama wewe huwaheshimu wanaheshimika na wengine. Unaruhusiwa kuwakosoa lakini uwe na adabu, unaruhusiwa kuwakosoa lakini usiwatukane matusi.
Ukosoaji wako usilenge kuwadhalilisha, ulengekutafakarisha, kufikirisha na kuleta mabadiliko yanayotakikana. Vinginevyo UNAKUWA MPUUZI NA MPUMBAVU KAMA YULE UNAYEMDHANIA KUWA NI MPUUZI NA MPUMBAVU!
NAWASILISHA!See More
.