Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Katika utawala wake ndipo watu wengi wa hali ya chini kama, Wamachinga
na wafanyabiashara ndogondogo waliweza kujenga na kufanya mambo mengi
ya Maendeleo, dhana ya kujiajiri ilikuwa inawezekana. Toka aondoke madarakani
kila kitu kimebadilika na nchi imekuwa chungu sana.
HUYU NDIYO RAISI BORA KULIKO WOTE WALIOWAHI KUONGOZA TANZANIA.
na wafanyabiashara ndogondogo waliweza kujenga na kufanya mambo mengi
ya Maendeleo, dhana ya kujiajiri ilikuwa inawezekana. Toka aondoke madarakani
kila kitu kimebadilika na nchi imekuwa chungu sana.
HUYU NDIYO RAISI BORA KULIKO WOTE WALIOWAHI KUONGOZA TANZANIA.