mussa yassin mbawala Member Aug 13, 2012 30 0 Aug 14, 2012 #1 jamani website ya chuo hiki mbona haifunguki www.saut.ac.tz:spy:
mussa yassin mbawala Member Aug 13, 2012 30 0 Aug 14, 2012 Thread starter #3 ndiooo unipe maujuzi nifungue basi
JosephElly JF-Expert Member Jun 5, 2012 2,432 1,034 Aug 14, 2012 #4 domain kama ime expire huwezi fungua hata kama una ma PHD
Gurta JF-Expert Member Sep 17, 2010 2,234 531 Aug 14, 2012 #6 mussa yassin mbawala said: nifanye nn sasa Click to expand... Usifanye chochote, subiri hadi wamiliki wake walipie domain.
mussa yassin mbawala said: nifanye nn sasa Click to expand... Usifanye chochote, subiri hadi wamiliki wake walipie domain.
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,689 39,754 Aug 14, 2012 #7 ila sio domain ni website ndo ipo down nime access kupitia ip adress yake same problem inatokea apache inanipa ma error tu
ila sio domain ni website ndo ipo down nime access kupitia ip adress yake same problem inatokea apache inanipa ma error tu
mussa yassin mbawala Member Aug 13, 2012 30 0 Aug 14, 2012 Thread starter #8 IT wa hichi chuo basi anazingua hajui kuwa page yake ipo down shit:sleepy:
Advicer JF-Expert Member Nov 21, 2010 533 272 Aug 14, 2012 #11 Hee mbona nimeandika web afu limetokea hlo neno hapo.heee!mbona cielewi?
unknown animal JF-Expert Member Jul 18, 2012 337 51 Aug 14, 2012 #12 ndio mambo ya kulemaa kiakili kila kitu google,kama haifunguki c upande basi uende,kwa msaada kipo mwanza.
ndio mambo ya kulemaa kiakili kila kitu google,kama haifunguki c upande basi uende,kwa msaada kipo mwanza.
Advicer JF-Expert Member Nov 21, 2010 533 272 Aug 14, 2012 #13 unknown animal said: ndio mambo ya kulemaa kiakili kila kitu google,kama haifunguki c upande basi uende,kwa msaada kipo mwanza. Click to expand... duh!upo nyuma ya taaluma afu hayo ni yakupeleka chit chat co humu.
unknown animal said: ndio mambo ya kulemaa kiakili kila kitu google,kama haifunguki c upande basi uende,kwa msaada kipo mwanza. Click to expand... duh!upo nyuma ya taaluma afu hayo ni yakupeleka chit chat co humu.
JosephElly JF-Expert Member Jun 5, 2012 2,432 1,034 Aug 14, 2012 #14 kama domain imelipiwa basi itakuwa wameifunga makusudi au uzembe wa wahusika. hapo hakunaujanja, ni kusubiri au kupiga simu
kama domain imelipiwa basi itakuwa wameifunga makusudi au uzembe wa wahusika. hapo hakunaujanja, ni kusubiri au kupiga simu
JosephElly JF-Expert Member Jun 5, 2012 2,432 1,034 Aug 14, 2012 #15 Advicer said: Ata Ministry of Health and Social Welfare Click to expand... hii web wametengeneza wazee au? Mbona hoi hivyo?
Advicer said: Ata Ministry of Health and Social Welfare Click to expand... hii web wametengeneza wazee au? Mbona hoi hivyo?