Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Naomba Profile ya Private na Public ya huyu jamaa
Vitu kama vile alizaliwa wapi mwaka gani
kasoma shule gani(Not interested in Primary)
University (undergrad kasoma wapi?)
alisomea nini?
Kama alisomea Humanities dessertation yake alindika kuhusu nini
Post Grad kasomea wapi, lini, thesis yake aliandika kuhusu nini
Alifanya kazi wapi
kazi gani
Kama nani
Private je aliwahi kuwa mfanya biashara
zipi?
majina ya kampuni zake?
Kaoa?
wapi?
ana watoto?
wangapi?
wakike
wakiume?
Je ana kimanda? au vimanda? wangapi? (maana kweli hiyo sifa kubwa sana apparently)
Je Ubunge wake alimshinda nani?
kwa kura za idadi ngapi?
ambayo ni sawa na asilia ngapi?
Base yake hasa ni ipi?
Je ana weza ku cross over ama?
Last but not least ambitions zake hizi zinamwelekeo au naye ni walter mitty charactter kama Lau & Co?
Vitu kama vile alizaliwa wapi mwaka gani
kasoma shule gani(Not interested in Primary)
University (undergrad kasoma wapi?)
alisomea nini?
Kama alisomea Humanities dessertation yake alindika kuhusu nini
Post Grad kasomea wapi, lini, thesis yake aliandika kuhusu nini
Alifanya kazi wapi
kazi gani
Kama nani
Private je aliwahi kuwa mfanya biashara
zipi?
majina ya kampuni zake?
Kaoa?
wapi?
ana watoto?
wangapi?
wakike
wakiume?
Je ana kimanda? au vimanda? wangapi? (maana kweli hiyo sifa kubwa sana apparently)
Je Ubunge wake alimshinda nani?
kwa kura za idadi ngapi?
ambayo ni sawa na asilia ngapi?
Base yake hasa ni ipi?
Je ana weza ku cross over ama?
Last but not least ambitions zake hizi zinamwelekeo au naye ni walter mitty charactter kama Lau & Co?