George Smiley
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 471
- 266
Kama kawaida ile anatomy of stupidity toka kwa mawaziri wetu inaendelea.
Kuna barua imetumwa wiki iliyopita a waziri Nyalandu kwenda kwa wawezekaji wa hospitality industry ambayo imetaka maelezo kwa nini zile concessions za investments kwenye national parks zilizotolewa kwenda kwa investors hazijawa utilized na kwenye hiyo barua yake kazi ametishia kuwa ifikapo January mwakani ata zi cancel zote.
Katika vitu ambavyo waziri Lazaro Nyalandu amekuwa gifted navyo naweza kusema kuwa ni memory loss. Lakini pia saa zingine nafkiria inawezekana ikawa huyu waziri hajui policy ya serikali ambayo yeye ni mtumishi wake.
Nyalandu (najua ni msomaji sana wa JF) umesahau kuwa waziri wa Utalii aliyeondolewa ndugu Ezekiel Maige mwaka jana alizuia developments zote katika hizo national parks?
Sasa kwenye barua aliyoandika Nyalandu kwenda kwa wawekezaji (wa ndani na nje) amewashutumu kuwa hawana lolote zaidi ya ku sabotage uchumi wa Tanzania. Hivi inawezezakana vipi huyu Nyalandi na nafasi aliyonayo asijue policy ya serikali, na hususana wizara yake? Hivi Nyalandu hana wasaidizi ambao wangempa taarifa kabla ya kuandika hizi barua za kutisha wawekezaji? How daft kama a deputy minister be?
I seriously doubt akikaa kwenye Cabinet kama huwa anasema kitu huyu na sasa nishajua kwa nini hakuwa promoted kuwa waziri kamili. Inavyoonekana huyu Nyalandu hajui kinachooendelea ofisini/wizarani kwake.
Kwa kifupi ni kuwa ban aliyopiga MAIGE bado haijawa lifted sasa haya mambo ya kusend mixed messages kwa wawekezaji yanafanya watu wasijue cha kufanya. Maana wakiendelea na hizo developments watakuwa wame violate existing order au watakuwa wame risk ku poteza mali zao kwa kufuata hiyo order.
Nadhani mnakumbuka Maige alipo washtua investors na ambao tayari walishatoa fees ili wapate concessions na wengine walishatengeneza michoro na wengine walishaanza tender process kisha out of blue Maige being Maige akapiga marufiku kila kitu & basically this put the entire investment and capital outlay ambazo wawekezaji walishazifanya at risk.
Well, JK naye hakumchelewesha amfukuza kazi akaishia kulalamika humu JF na kwingineko kuwa kaonewa. Nafasi yake ilichukuliwa na balozi Kagesheki ambaye mpaka naandika huu uzi ile bado hajaiondoa.
So what is Lazaro going on about? Katika mazingira ya kwaida kwa kusoma hiyo barua yake, if anyone smacks of sabotaging investors it is him with such thoughtless utterances. If anything he should apologize to the investors and the nation for committing such blunders. Im sure his peers kule Waldorf College watakuwa so dissapointed na huyu jamaa. Cha kujiuliza alikuwa wapi wakati maige amepiga marufuku wa ujenzi wa camps na lodges kwenye hizi national parks?
Huyu ni waziri of the so called wamawaziri vijana ambaye bado ana investment mentality ya ki 1970's ambayo hayana nafasi kwenye dunia hii ya 2012. Kila kukicha Nyalandu yuko kwenye maonyesho ya kuvutia watalii Tanzania toka alipokuwa wizara ya biashara halafu hao watalii wakija wanaanza kupewa mixed signals na the likes of Nyalandu ambaye haijulikani anatekeleza sea ya chama kipi na serikali ipi. Hii ni typical stupidity from our politicians ambao hawako consistent na kwenye utekelezaji wa hizi policies.
Hivi Nyalandu kashajua repucursions za hawa wawekezaji wakienda kushtaki for the investment, loss of income and profit for the duration for which the concession is valid kule East African Court of Justice? Je wakishinda compensation atatoa mfukoni mwake au walipa kodi wa kawaida ndio watakatishwa?
Sijajua kama Waziri Kashasheki kashamsomea huyu depututy wake (Lazaro) the riot act, maaana tangu appointment yake he has established himself as a no nonsense man mithili ya fagio la chuma, sweeping deadwood from the corridors of his ministry and cracking down hard on lazy officers from Changombe to the swathes of TANAPA all over the country and those not toeing the line or embarrassing him and I suggest Bwana Kagasheki kama umeisoma hii mwambie huyo Lazaro aandike barua ya kujieleza na pia amuulize kama anaweza kukumbuka kupost mapicha yake na status zake kwenye Twitter anashindwa vipi kujua kuhusu policy ya ndani ya wizara yake?
BTW here below ndiyo CV ya LAZARO NYALANDU
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Lazaro | |
Middle Name: | Samuel | |
Last Name: | Nyalandu | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Singida Kaskazini | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | P.O. Box 9503, Dar es Salaam | |
Office Phone: | +255 784 777 020/+255 784 273 272/+255 754 382 625 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | +255 22 2648028 | |
Office E-mail: | lnyalandu@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 18 August 1970 |
EDUCATION | ||||
---|---|---|---|---|
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Waldorf University College (U.S.A) | BA. (Business Administration) | 1994 | 1996 | GRADUATE |
Wartburg University College (U.S.A) | BA. (International Business) | 1997 | 1998 | GRADUATE |
Pohama Primary School | Primary Education | 1980 | 1984 | PRIMARY |
Mrumba Primary School | Primary Education | 1985 | 1986 | PRIMARY |
Kibaha Secondary School | O-Level Education | 1987 | 1990 | SECONDARY |
Ilboru Secondary School | A-Level Education | 1991 | 1993 | HIGH SCHOOL |
EMPLOYMENT HISTORY | |||
---|---|---|---|
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Singida North Constituency | 2000 | 2015 |
Equal Opportunity Trust Fund | Advisor-International Affairs and Development | 1999 | 2000 |
Northwest Bank, Minneapolis ,USA | Banker, Operations | 1998 | 1999 |
USA-Minneapolis Division One Corporation | Staff - Technical Call Centre | 1996 | 1996 |
USA-Waldorf College Foresty City | Student Service representative | 1994 | 1995 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
---|---|---|---|
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Assistant Commander - UVCCM , Singida | 2009 | Todate |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Chairperson - Singida Regional Youth Association | 2001 | 2003 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Chairperson - Youth Members of Parliament | 2001 | 2005 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Member - District Political Committee | 2000 | 2005 |