Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
mtu unayejuwa system inavyoo operate huwezi kugombana na wachina...kabila ya kushauriana na system.......Nyalandu alitoa kauli ile kweli tena akiwa anakaimu uwaziri nadhani bosi wake alikuwa nje ...lakini guess what the next day he went running TBC kwenda kusema hakusema wachina ....as it would have amounted to the diplomatic row that Tanzanian are targeting chinese....
Chinese we need to approach them in win win wako powerful..na ni waelewa hawapendi kudhallilishwa ....kama wanaweza kutejengea uwanja na misaada unlimited ya kijeshi .....the best approach kwa wizara ya biashara ilikuwa kwao kupeleka cabinet paper ili kumuomba rais amueleze rais mwenzake kero wanazoleta raia wake kwa kuchukua ajira za watanzania wa kawaida...kwa misaada wanayotoa na urafiki ......china haingeshindwa kuwaagiza raia wake wanaokuja hapa kuwekeza kwenye vitu serious zaidi.....naamini bado nafasi tunayo...
wenzetu Kenya wamefanikiwa kuwawekea mipaka ......mfano hakuna ubaya kwa raia wa china kuwekeza kwenye viwanda hapa badaya ya kutufanya wachuuzi wa bidhaa zinazotoka kwao....they can invest in secondary process...na tukawaomba wasiingie kwenye retailing .....tunaweza kuvumilia wao waishie kwenye distribution ...lakini wholesale na retailing kule kariakooo washike wazawa.....
Huyo bwana mdogo ni ulimbukeni tu. Hajui hata madhara ya matamshi yake mbe ya vyombo vya habari. Anachotafuta yeye ni 'publicity'