Lawyers to JK: Launch claims on unfit judges

Kwa mtaji wa vimbwangaa kama hivi kwenye ki-varanda cha taaluma ya sheria na utoaji haki nchini ndio kusema ya kwamba Tanzania yetu imekua ni nchi ya KITU KIDOGO AU NDIO KUSEMA TANZANIA jela ni yaa watu wadogo tu wasiokua na kitu mifukoni??????????????
 
andika basi kwa kiswahili ueleweke vema kwani hata lugha yenyewe uliotumia sio grammatical
I doughty if mr. Stolla is aware of what he commented, look this "TLS, according to Mr Stolla,who???? has not conducted research to prove Lissu’s allegations on judges and said it would not be easy to give its position on the integrity and qualifications of each judge.

He remarked however: “But as a matter of principle, if it is true that Mbarouks lacks a first degree in Law, it means that he did not deserve appointment as a judge.”

It is on record that TLS had in 2008 petitioned then Chief Justice Augustino Ramadhani with a list of six concerns which they wanted him to urgently address.

One of the concerns was to remove Justice Mbarouk from office for not having academic qualifications for appointment as a judge of the High Court. TLS in its petition to former Chief Justice Ramadhani claimed that Justice Mbarouk only holds a diploma in law." The allegations to justice Mbarouk are not new to TLS, did his society present to the then chief justice unresearched allegations? This is another area lawyers have to earmark.
 
Tanzanian Lawyers are bunch of thieves who enrich themselves by cornering and swindles majority poor of this country so that they can live a lavish and posh lives.Nina hakika kesi kama ya Liyumba lawyers wetu wangekuwa wanatumia taaluma yao ipasavo Liyumba asingesota jela hata kidogo...na pardon me simaanishi kwamba Liyumba hakuwa na kosa au alikuwa na kosa bali kwa jinsi tuhuma zilivyoletwa mahakamani Liyumba alitakiwa awe huru siku ya pili tu baada ya kusomewa mashitaka,but sadly these golddiggers bush lawyers ndio waliomwangamiza mteja wao.
 
Ni kweli STOLLA ni coward na hata TLS nayo imekaa kimya wkt ukweli wanaujua. ZLS wao wako smart kwani walimkatalia jaji mkuu wao alipomteua mwanae ambaye hana sifa

ni jaji gani alimteua mwanane na huo mwanane ni yupi??
 
Na Dr. Dhaifu, ndiye mwenye mamlaka ya kuwateua. Kwanza kuwateua kwenyewe kunahatarisha misingi ya kidemocrasia, kwa kuwa mhimili mmoja unaonekana kuwa juu ya mwingine. watawajibishana vipi sasa!!!!!

Judges of the High Court Judges and their appointment Act No. 14
of 1979
s. 6

109.-(l) There shall be a Principal Judge of the High Cour (who in the following provisions of this Constitution shall be referred to as the ''Principal Judge'') and other Judges of the High Court who shall be not less
than fifteen.

(2) The Principal Judge and other Judges of the
High Courts shall be appointed by the President after
consultation with the Judicial Service Commission.

Sasa kwa nini hao TLS wanamuomba mtu huyo huyo aliyewateua hao majaji ndiyo aanzishe uchunguzi dhidi yao?

It doesn't make sense.
 
...NN hili linasababishwa na mtu mmoja kujirundikia madaraka chungu nzima na matokeo yake ndiyo haya.

Sasa kwa nini hao TLS wanamuomba mtu huyo huyo aliyewateua hao majaji ndiyo aanzishe uchunguzi?

It doesn't make sense.
 
Ni kweli STOLLA ni coward na hata TLS nayo imekaa kimya wkt ukweli wanaujua. ZLS wao wako smart kwani walimkatalia jaji mkuu wao alipomteua mwanae ambaye hana sifa

Wazenji bwana mimi nawapendea kitu kimoja they call a spade a spade. Sisi wa bara ni waoga mno hivi kweli tutajileta maendeleo kwa kupingana na ukweli kila kukicha??
 
...NN hili linasababishwa na mtu mmoja kujirundikia madaraka chungu nzima na matokeo yake ndiyo haya.

Kujirundikia madaraka ni hatari kwa vile si rahisi kupambanua kila jambo kabla ya kuchukua maamuzi hivyo kufanya makosa makubwa ambayo yanashusha hadhi vibaya mno.
 
ndugu una uhakika? how can you raise allegations against all lawyers in the country?
what kind of a person are you?
they need an apology from you in due cause
its shame and unjust to condem all lawyers just because liyumba wa sentensed and bare in mind that the judgement was entered by the majority of magistrates in Kisutu.
Liyumba was sentensed because the attorneys were able to prove Liyumba's allegations with no doubt and the court was satsified beyond reasonable doubt. sasa ulitaka watumie ujuzi gani tena_
ulitaka aachiwe huru kesho yake mayb he is your father, shame upon you.

Tanzanian Lawyers are bunch of thieves who enrich themselves by cornering and swindles majority poor of this country so that they can live a lavish and posh lives.Nina hakika kesi kama ya Liyumba lawyers wetu wangekuwa wanatumia taaluma yao ipasavo Liyumba asingesota jela hata kidogo...na pardon me simaanishi kwamba Liyumba hakuwa na kosa au alikuwa na kosa bali kwa jinsi tuhuma zilivyoletwa mahakamani Liyumba alitakiwa awe huru siku ya pili tu baada ya kusomewa mashitaka,but sadly these golddiggers bush lawyers ndio waliomwangamiza mteja wao.
 
tumewapa midomo lazima mseme lkn mkumbuke kupiga mswaki siku zinakuja hatutatamani yanayotoka vinywani mwenu na hatutathubutu hata kuwasogelea.
 
tls ni dhaifu sana chini ya uongozi wao wa sasa kwani tumeona madudu mengi ambayo huitaji kuwa mwanasheria kuyagundua kwanza kauli yao imechelewa sana kwani haaikutakiwa kutolewa sasa wao ndio wanasimamia maadili ya wanasheria hivyo ni rahisi kugundua kama makosa au taratibu za kisheria zimekiukwa mpaka sasa hivi wameshindwa kuizungumzia rex attorney ambayo imeipotosha serikali kwa makusudi na kuiingiza nchi kwenye hasara kubwa pia walipasa kuhoji uteuzi wa jaji alikuwamo kwenye kampuni ilidhamini deep green wamekuwa watu wa kujipendekeza wakisubiri nao wapewe nyadhifa za kisiasa
 
Mzee naona imeku-touch au na wewe umo kwenye kula kiulaini huku kesi zikichukua miaka na miaka na watuhumiwa wakifirisika kama kesi ya Valhambia na BOT zilivyomtajirisha Mkono!?! Pole kama nimekukwaza.
ndugu una uhakika? how can you raise allegations against all lawyers in the country?
what kind of a person are you?
they need an apology from you in due cause
its shame and unjust to condem all lawyers just because liyumba wa sentensed and bare in mind that the judgement was entered by the majority of magistrates in Kisutu.
Liyumba was sentensed because the attorneys were able to prove Liyumba's allegations with no doubt and the court was satsified beyond reasonable doubt. sasa ulitaka watumie ujuzi gani tena_
ulitaka aachiwe huru kesho yake mayb he is your father, shame upon you.
 
mm ndio mwanasheria wa siku kadhaa ingawa sipractice kwa sasa
lakini unapotoa hukumu ya pamoja unakuwa hutajatutendea haki
kesi kuchukua mda mrefu sio jukumu la wanasheria peke yao
kesi ina pande kuu tatu, mahakama, mshtakiwa na mshtaki

mfano kesi za mahakama kuu unaweza kupangiwa tarehe ya kutajwa miezi 4 mbeleni
hivo katika mwaka mnaweza kuhudhuria kesi mara mara 4
utamlazimisha jaji apange tarehe unayotaka wewe?
kwa upande wa DPP kuna swala la upelelezi na mashahidi
kuna swala la vielelezo

usishahu pia sheria yetu ya mwenendo wa makosa ya jinai CPA
ina mapungufu mengi mfano kuruhusu kesi kupelekwa mahakamani upelelezi ukiwa bado,
DPP kuwa na uhuru wa kuomba extension nk
muda au ukomo wa upelelezi, namna ya kuwaita mashahidi nk
zipo sababu nyingi.

soma soma sheria hizo ili uelewe yanayojiri tuwe na tamaduni za kujisomea
swala la hukumu haandiki mwanasheria ni hakimu au jaji
sidhani kama kuna haja ya kuwalaumu eti kwa vile fulani kafungwa au hakufungwa
 
Kaka siulimsikia Prof Muhongo,alisema kesi nyingi ni ulaji tu baina ya mawakili na government corporations kama Tanesco,sasa tutaachaje kuwatilia shaka lawyers wetu na hizi posh lives wanazoishi?
mm ndio mwanasheria wa siku kadhaa ingawa sipractice kwa sasa
lakini unapotoa hukumu ya pamoja unakuwa hutajatutendea haki
kesi kuchukua mda mrefu sio jukumu la wanasheria p
kesi ina pande kuu tatu, mahakama, mshtakiwa na mshtaki

mfano kesi za mahakama kuu unaweza kupangiwa tarehe ya kutajwa tu miezi 4 mbeleni
kw ahivo katika mwaka mnaweza kuhudhuria kesi moa mara 4
utamlazimisha jaji apange tarehe unayotaka wewe?
kwa upande wa DPP kuna swala la upelelezi na mashahidi
kuna swala la vielelezo

usishahu pia sheria yetu ya mwenendo wa makosa ya jinai CPA
ina mapungufu mengi mfano kuruhusu kesi kupelekwa mahakamani upelelezi ukiwa bado,
DPP kuwa na uhuru wa kuomba extension nk
mda au ukomo wa upelelezi, namna ya kuwaita mashahidi nk
zipo sababu nyingi.

soma soma sheria hizo ili uelewe yanayojiri tuwe na tamaduni za kujisomea
swala la hukumu haandiki mwanasheria ni hakimu au jaji
sidhani kama kuna haja ya kuwalaumu eti kwa vile fulani kafungwa au hakufungwa
 
well saidi Kabembe sikatai kuwatilia mashaka wanasheria wapo wanaojitafuta hela kwa njia ambazo sio za haki,mfano katika sakata la EPA, na mikataba mibovu wapo waliojinufaisha na wengine hadi kuagiza hammer 5 kwa ndege kuletwa Dar.

Kesi za Tanesco inawezekana alivosema Prof. Muhongo kwani mawakili wa Tanesco wana mahekalu ya kutisha na maisha yanayozidi kiwango cha Mtanzania wa kawaida hiyo sikatai lakini katika kundi hili ni wachache kati ya wanasheria waliopo Tanzania.

Kazi ya wakili sio tu kumshauri client wake bali pia anawajibika kwa mahakama na jamhuri wengine hawazingatii hili wanafanya awezavyo hata kwa ushahidi mbovu au feki ili mteja wake ashinde wengine hata kuwahonga mahakimu.

kwa wanaozingatia code of ethics huwezi kuwakuta katika kashfa kama hizi.
 
Back
Top Bottom