WEWE KINAKUUMA NINI????????????KAMA UNAHISI EASY
KUWA UYAONE!!!!!INAONEKANA WE ULIKUWA BIBI YAKE WA ZAMANI NINI???
MKEWE MWENYEWE KARIDHIKA AU NA WEWE UNATAKA BABY COME BACK
LOH!!!!!!!!HILOOOOOOOOOOOOOOOOO UTAJIJU MWANAWANE MAMA KULA
NCHI WENYE KIJIBA CHA ROHO WAFE KWA RAHA ZAO!!!!AIJAWEKWA MUHURI WA
engima!!!!kila mtu kwa starehe yake
bibie enigima kama yako hujui kuitumia vyema mama wapelekee
WAKINA SALAMA WA EATV BEST WANAJUA KUZITUMIIA HIZO AU WAKINA
WAULIZE MTOTO WA MENGI !!!!MAMA TUMIA ULICHOPEWA NA MUNGU USIJEULIZWA
Wait a minute!
Hivi JF imefikia kiwango cha kuwa kijiwe cha mipasho?
If it is..then Im in a wrong place!
Mkuu heshima yako sana, siku hizi kuna open marriages ambapo mke na mume wanakubaliana kufanya mambo yao nje na kuendelea kuwa pamoja for the sake of kids ninazijua ndoa nyingi sana hapa Dar, za namna hiyo maneno yako yangekuwa na nguvu sana kama mke wa Masha angekuja hapa kulia,
Otherwise ni absolutely none of our business, labda tu utuambie ametumia hela ngapi au mali ngapi za taifa letu kwa hao vimada then it our damn business!
Quote:Alot is going on than what meets the eye!Huu ujumbe umebeba mengi!
Kwanza probably ndiyo kinyumba ndogo:
Pili umalaya:
Tatu usagaji:
Hiyo ndiyo raha ya freedom of speech!
With all due respect!
Hutegemei mwanamke mwenye heshima zake kama mama Masha kuja humu kumwaga mtama kwenye kuku wengi! Mambo binafsi siyo lazima kuyamwaga hadharani.A woman worth her salt kama mama Masha hawezi ku stoop so low kuja kumwaga siri zake za ndani humu...kisa nini? that will never happen!
its true kila marriage ina mambo yake ..kinachotokea hapa ni kwa vile Masha ni public figure ndio maana some people are questioning his behaviour.
Mkuu, we should not make assumptions kuwa mke ameridhia..pia JF haina ubavu kubadili tabia za watu wala haina nguvu ya kuhalalisha.At most ni kuonyesha disapproval ili mwenye maskio asikiye.Tabia haina dawa!
WEWE KINAKUUMA NINI????????????KAMA UNAHISI EASY
KUWA UYAONE!!!!!INAONEKANA WE ULIKUWA BIBI YAKE WA ZAMANI NINI???
MKEWE MWENYEWE KARIDHIKA AU NA WEWE UNATAKA BABY COME BACK
LOH!!!!!!!!HILOOOOOOOOOOOOOOOOO UTAJIJU MWANAWANE MAMA KULA
NCHI WENYE KIJIBA CHA ROHO WAFE KWA RAHA ZAO!!!!AIJAWEKWA MUHURI WA
engima!!!!kila mtu kwa starehe yake
bibie enigima kama yako hujui kuitumia vyema mama wapelekee
WAKINA SALAMA WA EATV BEST WANAJUA KUZITUMIIA HIZO AU WAKINA
WAULIZE MTOTO WA MENGI !!!!MAMA TUMIA ULICHOPEWA NA MUNGU USIJEULIZWA
mambo ya ndani ya ndoa ya masha hatuyajui, kama yeye na mkewe wana makubalinao flani hatujui, lakini ninawajua wananchi wengi hapa darsalama, wanaoishi maisha ya open ndoa, na kuishi pamoja kwa ajili tu ya watoto wao, kuna wengine mashoiga na wana wake na watoto,
masha ni mtu mzima na mwenye akili timamu na msomi pia aliyebobea na ni mwanasheria mzuri sana kati ya wachache sana tulio nao bongo, eti at this time and moment of his life tunaweza kumfundisha what is right na what is wrong? Tena waziri wa mambo ya ndani? eti wewe mkuu unamjua vizuri mkewe?[/b]
eti ni makosa kwa m-tanzania kwenda rosegarden kwa sababu tu ya kazi yake? Kwa sababu amesema nani? Kama hizi habari ni za ukweli na ni njema sana mbona waliozileta hawakuzileta kwa majina yao hasa wanayoheshimika nayo humu forum? hivi kwa nini mnapenda kujifanya wajanja wakati ni wajinga? Hivi ni kwa nini mnapenda kuwafanya watu hapa forum kuwa ni wajinga sana na ninyi tu ndio wenye akili? Wewe unaamini kuwa una hoja hapa kwa nini unatuzunguka na majina kwa nini usisimame na jina lako hasa unalotumia hapa? Wanaleta udaku hapa halafu wanakimbia na kuangalia kwa pembeni huo ndio ujanja?
wakuu again ninaomba mtuambie masha ametumia hela ngapi za serikali kuhudumia huyu kimada? Msitupotezee muda hapa, kama kuwa na kimada ni vibaya sana basi tubadili katiba badala ya kujaribu kuharibu majina ya viongozi humu kwa sababu za wivu na chuki zisizokwisha!
Originally Posted by MAMA MIA
WEWE KINAKUUMA NINI????????????KAMA UNAHISI EASY
KUWA UYAONE!!!!!INAONEKANA WE ULIKUWA BIBI YAKE WA ZAMANI NINI???
MKEWE MWENYEWE KARIDHIKA AU NA WEWE UNATAKA BABY COME BACK
LOH!!!!!!!!HILOOOOOOOOOOOOOOOOO UTAJIJU MWANAWANE MAMA KULA
NCHI WENYE KIJIBA CHA ROHO WAFE KWA RAHA ZAO!!!!AIJAWEKWA MUHURI WA
engima!!!!kila mtu kwa starehe yake
bibie enigima kama yako hujui kuitumia vyema mama wapelekee
WAKINA SALAMA WA EATV BEST WANAJUA KUZITUMIIA HIZO AU WAKINA
WAULIZE MTOTO WA MENGI !!!!MAMA TUMIA ULICHOPEWA NA MUNGU USIJEULIZWA
FIELD M, SE..
umetoa credit kwenye hii post..unamaanisha nini mkuu...
To me this post sounds like a bad desease, sorry
1.i dont want to believe that you are attacking me personally!sidhani u are implying that i am stupid or illiterate/ignorance - hatuonyehsni nani zaidi hapa bali tunaweka opinions zetu .ingekuwa ni kuonyeshana visomo na mengine basi nadhani ingekuwa hapatoshi hapa!
there are times you overstep the mark.sihitaji ku go into details juu ya Bw.Lau katika hili la ku overstep,naamini 'message sent'.You wish unhhh! mwisho wake kisasa Katika serikali ipi hiyo? What is the history yaani kiongozi gani bongo aliwahi kumaliza political career kwa sababu hii?
Unajua siasa kama sheria, ni about history anayafanya bwana mdogo kama ni kweli sio mazuri lakini hayatuhusu ni ya familia yake, absolutely none of our business, unless kama tuna sheria againt it, au?
there are times you overstep the mark.sihitaji ku go into details juu ya Bw.Lau katika hili la ku overstep,naamini 'message sent'.
...Zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz 2+2= 0%????WEWE KINAKUUMA NINI????????????KAMA UNAHISI EASY
KUWA UYAONE!!!!!INAONEKANA WE ULIKUWA BIBI YAKE WA ZAMANI NINI???
MKEWE MWENYEWE KARIDHIKA AU NA WEWE UNATAKA BABY COME BACK
LOH!!!!!!!!HILOOOOOOOOOOOOOOOOO UTAJIJU MWANAWANE MAMA KULA
NCHI WENYE KIJIBA CHA ROHO WAFE KWA RAHA ZAO!!!!AIJAWEKWA MUHURI WA
engima!!!!kila mtu kwa starehe yake
bibie enigima kama yako hujui kuitumia vyema mama wapelekee
WAKINA SALAMA WA EATV BEST WANAJUA KUZITUMIIA HIZO AU WAKINA
WAULIZE MTOTO WA MENGI !!!!MAMA TUMIA ULICHOPEWA NA MUNGU USIJEULIZWA