Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
acheni kumuonea huyu bwana mdogo..nani hana hawara hapa?...hata kama huna sio kazi yako kumfunga kamba mwanamume mwenzako..unless kama hizi tuhuma sio sehemu ya kampeni,...otherwise katika mawaziri vijana masha ,ngeleja,hussein mwinyi na deodotus kamala wanajitahidi..afteral..kama ni ufuska kikwete anaongoza....kama ni adhabu itakuja 2010
.....kwa upande mwingine kwa kuwa masha anapitaga huku...tunamuomba kama kuna ukweli kwenye haya ajitahidi kuwa na staha na kubadilika....
.....kwa upande mwingine kwa kuwa masha anapitaga huku...tunamuomba kama kuna ukweli kwenye haya ajitahidi kuwa na staha na kubadilika....