Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
mazuri sana aisee afadhali pesa za wizi wazitumie vizuri kuliko wa kina chenge walipoziweka visiwani kwenye mabenki ya nje!Kweli kufa kufaana neema imemuangungukia aliyekuwa mbunge wa mwanza L. Masha
baada ya kupata tenda ya kubeba taka katika jiji la Dar es salaam. Kama wewe ni mkazi wa
dar utakuwa umeyaona haya magari yakibeba taka kube mmiliki wake ni L masha