TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,887
- 11,282
Sikusema kuwa turudi kwenye Vyanzo Vya Vyuma kitu cha kunishangaza ni wachangiaji kuabudu kuwa ni Lau Masha ndie atakayeleta Hayo Magari ya Matakataka sio Mwingine.
Ndio Maana nikasema kama kutakuwa na fair privatization; Mtu anapewa Maeneo sio Lau Masha ana Monopolize the Market kama Sasa hivi hakuna Mwingine wa kufanya hiyo Biashara Isipokuwa Lau Masha, na hajui Socialist Economy his Mind is all about Profit Maximization Capitalistic Economy; Lini Unadhani faida anayopata atasaidia kijiji Umeme au watoto wazururaji?
Well, kama huyu utamwita Enterpreneur Nchi yetu Imeisha; Kwahiyo Unaona Lau Masha sio FISADI?
Sasa, NGELEJA akiingia kwenye Biashara akianzisha something New Very Motivational as an Enterpreneur pia hautaangalia his Past; Utaangalia sasa hivi kama nani? a Best Enterpreneur
Kama nilivyosema kuna Wanaomodernize Business in a good heart for the betterment of the country
There are some who are ME ME ME; Sasa hivi Lau Masha hawezi kuifanya hiyo Biashara ya kuzoa Matakataka Mwenyewe
Unajua hakuna mtu Mpya wa kupewa kibali?; labda aingie Ubia na Lau Masha?
Ni kama vile CLOUD's wao wanaita Wanamuziki wa USA; kuna watu mbalimbali Watanzania Walioka Dar na USA wanataka kufanya hivyo lakini hawapewi kibali lazima Uende kwa CLOUD's yaani Wamemonopolize hiyo Biashara
Sasa hapo itabidi kweli Uwalambe Miguu kama unataka hiyo Biashara yako; Lakini SIWEZI KUFANYA HIVYO I'M FREE SITAKI KUTAWALIWA TENA na VICAPITALIST.
Mkuu nashukuru tumeelewana japo 50%... i dont think lau ni msafi, na ndio maana nikasema napenda enterpreneur na sio fisadi... i looked at kuzoa taka, kwani mleta mada alitaka kutuaminisha kwamba kuzoa taka ni ku-lost
kuhusu modernization with good heart, wapo, na kaa ujue kwamba ile biashara si ya marsha pekee... na kuhusu monopoly, sioni tatizo, kwa wenzetu hizo kazi zinaenda kwa zone, na mgeni anaweza kufanya kazi eneo lako kama mtakubaliana kufanya kazi pamoja... sio blue cab zote ni mali ya mtu mmoja, bali huwa ni mali ya wanachama. so far waliojiingiza kwenye hiyo biashara ni wachache, wakiongezeka, competition itakuwepo na tenders zitakua floated na vendors wataungana tu, hilo halina ubishi, ila ku-judge kama alipata kihalali au wengine vipi nadhani ni mapema sana kwani yeye na manispaa ndio wa mwanzo kabisa kuleta hayo magari (manispaa zilianza hiyo biashara miaka kibao sasa.... wengine walioingia kwenye hio biashara walikuja na ma-skrepa kufnya biashara
kuhusu kibali cha kuleta mwanamuziki kanataaa.... east africa walishawahi kuleta wanamuziki bila kupitia clouds kwahiyo hapo umedanganya
pamoja