Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,986
- 2,768
Hawa watu ni wapika majungu usiombe ufanye nao kazi. Kujipendekeza kwa mabosi wanatisha halafu hujidai sana. Kina Yego, chausugu.Wewe GENTAMYCINE, hebu muache poti bana!
Hawa watu ni wapika majungu usiombe ufanye nao kazi. Kujipendekeza kwa mabosi wanatisha halafu hujidai sana. Kina Yego, chausugu.Wewe GENTAMYCINE, hebu muache poti bana!
Haya, li-jita jingine hili huku!. Angalia povu lilivo mjaa. Wajita badilikeni bhana. Mnatoka majita na yeboyebo kuja mjini afu mwajifaragua kana kwamba watu wa maana.Wee ni mpuuz unalako jambo,unadisi watu usiowajua,kama kabila lako washamba endelea na ushamba,by the way mkoa wa Mara kabila lililoanza kuelimika/to be civilized ni wajita,coz wamishionari wa kijeruman waliaanzia MAJITA-BWASI,kufa huko na ushamba wako!!..
chitali bhanu bha kwenyela eswoneEchigabhilimya echinu! Chitali bhanu bho kwenyela eswe! Bhanalile abhamumu eswe chitali bhamumu. Gunu mujiki gundi gunu go.
Labda wajita wenzake ndo walimwelewa!It doesn't matter.."malingo" au "maringo" vyovyote vile ili mradi umeelewa nimeandika nini. Wewe una wivu wa kike na tabia za "ukabila". Watu wengi waliomsikiliza Mafuru jana walifurahishwa sana na ufafanuzi wake, wewe unatuletea mambo ya "ukabila" hapa? Get a life loser!
Na wajita wa kisabato kwa kupenda biashara ya kulaani wenzenu utafikiri huyo Mungu mnakaa nyumba moja!Yani wewe ndo Mpumbavu kabisa wa Mwisho, Sikutegemea uingize Mambo ya DINI hapa, Acheni Wivu wa Kijinga, Kama kabila lenu Elimu iliwapita shauri zenu, Acheni Ujinga Na Kabila Letu. Ulaaniwe kabisa ww. Unawazungumzia wasabato na Ujita? Mungu ashughulike na wewe. PUMBA KABISA
Mkuu huyo anatoka sehemu moja inaitwa MAJITA MAKOJO( mkojo)Haya, li-jita jingine hili huku!. Angalia povu lilivo mjaa. Wajita badilikeni bhana. Mnatoka majita na yeboyebo kuja mjini afu mwajifaragua kana kwamba watu wa maana.
We kweli umeonesha umburura wa kijita. Unajivunia utamaduni wa wajerumani kwa kuwatwanga babu zako bakora za makalio hadharani ndo unasema umekuwa civilized!
Kwa hiyo na wewe mjita unataka kujifananisha na wajerumani? Tehe,tehe, tehe! Kweli ujinga mzigo.
Kutawaliwa na wazungu anajiona sio mjita tena! Zombi wa mazombi!
Makojo mmmhh, Mbona napafahamu hapamfananiii?Mkuu huyo anatoka sehemu moja inaitwa MAJITA MAKOJO( mkojo)
Hahaaa... Yaani hata wewe? Za siku bana, ngoja nije nikupe ile Heineken yenye ujazo mkubwa!
Wew gentamycizine me nakuona fala tu,ng'ombe tu,fisi,tu na maneno yako yote ya kwenye khanga,watishe wajinga wenzio,kama kingereza hujui c ukasome,mbuz wew,afterwards nakuambia usipokuw makin UTAOLEWA,napendekez uje kwetu,Tarime/Bunda uolewe,mende wa maziwa wew!!..
Nimeamua kukutukana coz hujiheshimu,kichwa kikubwa akil nukta,Mpuuz sana wew jamaa,u'r a literary bitch!!..
Kupakuliwa kwa kiswahili kilichozoeleka ni kufi**, najua lina maana nyingine lkn siyo maarufu km ilivyo hiyo, Acha uswahili wa kitoto, na usitake kubadili maana yako, na usijifanye mjuaji sana kuliko wengine.
Toga Gentamycine huyo Ana chisege sana.
Gentamycine eti nikweli wewe ni Mtutsi uliyetukuka??
Unanifurahisha sana mkuu,nikisoma post zako huwa napata burdaaan kabisa.
Wajita wa aina hiyo ni wale walio changanyikana na makabila mengine.Lakini Mkuu mbona Mimi nimekaa kwa takribani miaka miwili ( 2 ) na aliyekuwa Balozi Mdogo wa Tanzania nchini Uganda Marehemu Mufungo Silas Mujaya ( R.I.P ) kati ya mwaka 1998 hadi 2000 pale Nyumbani kwake Kololo Kampala ambaye ni ' Mjita ' wa ' kutukuka ' kabisa lakini hakuwa na haya maringo / majivuno mengi ambayo ninayaona kwa Wajita wengi? au ni ' ushamba ' na ' ulimbukeni ' ndiyo unawasumbua? Ulikuwa huwezi jua kama Marehemu Mzee Mujaya alikuwa ni ' Mjita ' kwani alikuwa ni Mtu ' mkarimu ', mwenye ' huruma ' na mpenda Watu sana na najua hata Watanzania tuliokuwa Uganda miaka ya 1996 hadi 2001 mtakubaliana nami kuhusu ' uwema ' wa ' kutukuka ' kabisa wa huyu ' Mjita ' Marehemu Balozi Mufungo Silas Mujaya. Wajita ' badilikeni ' kwani bado hamjachelewa!