Lawrence Mafuru: New MD NBC (T) Ltd

BOT's requirements na sio limewashinda, ilikubaliwa wazungu washike kwa muda wawafundishe wazawa management then waaondoke. Kuna vitengo kama vya idara ya mikopo na finance nao wanatakiwa wawachie wazawa ili mikopo itoke zaidi kwa manufaa ya makampuni ya watanzania na sio makampuni ya wawekezaji wa nje tu.
mkuu kuna waivers huwa zinakua granted kwa extension, na kama anakua yeye basi atanaletewa wapambe hasa kwenye treasury na finance [wenye rangi yao na pesa zao]... eniwei mimi si banker
 
Hongera sana mkuu kwa kupata nafasi hiyo, hii ni changamoto kwa vijana wengine wa kitanzania ku perform vizuri zaidi.
 
Hii ni Habari njema ..Kwa uchapakazi na uwajibikaji kijana huyu wa Shinyanga yupo Juu...Niliwa kumuona kwenye kipindi flani cha Uchumi wetu kwa ITV ..kijanaa amekwiva kwenye tasnia hiyo..HONGERA SANA Shemeji Law Mafuru..vijana wengi tupo pamoja nae...Naamini Utaifanya NBC iwe bora kuliko benki nyingine Tanzania
 
Duh mkuu uliona mbali!
The youngest, the biggest, nk. hivi visiwe vigezo vya kumpa hongera.

Tusubiri tuone performance maana ni wengi waliowahi kupewa hongera kwa uteuzi na kusifiwa ni youngest, it is bla bla! ...... Matokeo yake ni aibu tuuuu! Munakumbuka uteuzi wa boss wa PPF?
 
Mmeshaaibishwa tayari! Au mnasubiri arudishwe na kuwa cleared? Just know barclays will never give him another chance kwa kuhofia revenge. Kwa experience niliyo nayo ni kwamba barclays wakisema tumemsimamisha kupisha investigation wewe jua kila kitu tayari kimekamilika na hizo ni siasa za kumuweka kando
Hongera sana wa nyumbani..kwa wale ambao hamjui....Mafuru ndo Masanilo. So keep your heads up kwa utendaji unaoendana na taaluma yake.... Upele umepata mkunaji.....lol...

Hongera sana Port! Nakutakia utendaji mwema wenye mafanikio. Lakini nakuasa...Usituaibishe kama yule jirani yetu mwingine aliyeiba kodi za wakulima na wavuvi wa nchi hii...na kuhamishia vijisent huko kwa akina Mwanakijiji!
 
Duh! Bila shaka wewe ni board member wa NBC
Hongera Lawrence Mafuru; lakini mimi nina caution kidogo hasa baada ya kufanya na hawa wazungu for years now... Mara nyingi ukiona wanalibwaga hilo dude [shirika] ujue either limewashinda au lina masoo kibao!!!!

surely NBC ni hot chair na lina soo kupita tanesco!!! cha kufanya baba... PROVE THEM WRONG!!!!

DO YOU BEST AND FIX THE NO BODY CARE BANK!!
 
Kama sikosei kuna uzi mmoja ulipita kama wiki 3 hivi kuwa Lawrence Mafuru asimamishwa kazi kupisha uchunguzi sasa sijui mimi ndo nimesahau ama naomba munijuze.
 
Mkuu hii ilikuwa ya mwanzo kabisa mwaka 2010 wakati wa uteuzi wake!
Kama sikosei kuna uzi mmoja ulipita kama wiki 3 hivi kuwa Lawrence Mafuru asimamishwa kazi kupisha uchunguzi sasa sijui mimi ndo nimesahau ama naomba munijuze.
 
As I knows bank system it was obvious very difficult a CEO to be appointed from treasury and expecting he will perform....mostly appointed CEO in banks are those experienced Heads of Operations,who are well equipped with ABC of each section in banking....Rished Bade performed poorly at Barclays,before he was the Head of treasury dpt at Barclays as well as Bomani did the same at KBC bank.
 
As I knows bank system it was obvious very difficult a CEO to be appointed from treasury and expecting he will perform....mostly appointed CEO in banks are those experienced Heads of Operations,who are well equipped with ABC of each section in banking....Rished Bade performed poorly at Barclays,before he was the Head of treasury dpt at Barclays as well as Bomani did the same at KBC bank.

Asante mkuu!
 
the Peter Principle: In hierarchies people, as long as they are competent, will rise to their level of incompetence
 
at least hali ibaki kuwa hivo, katika private sector performance matters a lot

katika public sector ndio huko tunafunika funika mambo
 
Back
Top Bottom