Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,839
Kina mama naomba niwaulize swali leo hii,
Hivi kwanini mnapenda manung'uniko na kulalama sana? yaani mtu kufumba na kufumbua anakuanzishia soo bure bure tu...
Mnatufanyisha wengine tuone hivi vibanda tulivyojenga kama vituo vya polisi au transit point, na kuwafanya wengine wakitokea kazini bar,....au wenye 'IQ ndogo' kutokomea nyumba ndogo.
Nini "tatizo" hasa?
Hivi kwanini mnapenda manung'uniko na kulalama sana? yaani mtu kufumba na kufumbua anakuanzishia soo bure bure tu...
Mnatufanyisha wengine tuone hivi vibanda tulivyojenga kama vituo vya polisi au transit point, na kuwafanya wengine wakitokea kazini bar,....au wenye 'IQ ndogo' kutokomea nyumba ndogo.
Nini "tatizo" hasa?