Sokwe Mjanja
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 576
- 297
Kwenye mapenzi kweli lawama zikiongezeka zinaumiza sana yaani, kila mara mtu unaonekana hauaminiki, unafanya vitu vingi tu tena vikubwa kwa ajili ya future lakini kila mara ni kuonekana mkosefu tu!
kweli Mapenzi ya mbali ni issue!
Hakika ladha ya mapenzi huwa inapungua sana kunapokuwa hamna trust............
kweli Mapenzi ya mbali ni issue!
Hakika ladha ya mapenzi huwa inapungua sana kunapokuwa hamna trust............