Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
pamoja na hayo unadhani ni makubaliano rahisi kuyafikia? kuna mfano mwingine hai ningekutolea lakini nahisi utanila nyama,ngoja nijinyamazie tu.
Bishanga wangu...usinichukulie hivyo jamani, nakupenda ujue, uctishike na sera zangu bwana! haya niambie bac.....hapo red Bishanga, mama alijipanga na akaamua hayo maamuzi, hujiulizi kwann hakumpa hiyo chance shoga/rafiki mpaka akampa mdogo wake? alijipanga akayaamua hayo, hapo kwangu nin sawa kabisa, coz ni wameamua iwe hivyo!