mtoto wa mfugaj
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 136
- 29
Jaman wa tz wenzangu,bachelor ya sheria imekua si kitu bila law school,mtanzania halisi amesoma shule za kata ,chuo kapata mkopo lakini law school hakuna mkopo hivyo degree yake ya sheria inakua haina deal maana waajiri wanahitaji mtu aliyesoma law school.gharama za law school ni kubwa sana kiasi kwamba mtanzania asie na uwezo hawezi zimudu,je hii ni sawa? Ukizingatia law school tanzania nzima iko dar pekee wkt vyuo vingi tz vinatoa shahada za sheria hivyo uhitaji wa law school umeongezeka na unaongezeka kila mwaka.